Kwa sababu ni mkataba baina ya mume, mke na jamii waliyopo.
Ndoa is public, ni mkataba unaotakiwa uwe published in public records.
There's always a public interest in any marriage .... a wedding can be private.
Tehetehetehe. Nasikia pia mpaka namba ya chumba cha hoteli waliyofikia amwigulu anayo na picha za chumbani pia zipo. Mwigulu balaa sana huyu.na mtaalam mwiguli pale alimtega tu angetoka mapovu jamaa alikuwa anatowa mpaka risiti ya gesti waliyolala na walipokuwa wakinywa vinywaji huko dubai
Inategemea unamaanisha nini unaposema jamii. Na kwa sababu mtu fulani anakula kinyesi chake, hiyo haikupi ruhusa ya wewe kula kinyesi chako.Wewe ukioa mke au kumwacha kamwe jamii haina hasara wala faida yoyote kwani haina mkataba nanyi, lete hoja zenye mshiko utaeleweka bro na sio hizo za kubumba! nyie huko upande wenu mna mpaka kashfa za kubaka na mnalindana mpaka leo hata kupeleka kesi mahakamani mnashindwa, huyo Naibu spika wenu unazijua kashfa zake nyumbani kwake? mtu hajui hata idadi ya watoto wake mtaani?
we only hear that when one of dogs is under fire...kaka umenena vema ndio tatizo la watanzani kujadili watu(persona attack)
badal ya kujadili hoja
Ili kulinda hadhi ya jf kama home of great thinkers,kwanini tusijaribu kujadili tofauti za mishahara kati ya wanasiasa na watendaji kwamfano
1.kati ya madaktari na wabunge
2.maprof wa chuo kikuu na ma Rc
na kupanda kwa gharama ya maisha na kadhalika.naona inaweza leta maana kuliko kujadili rangi ya chupi ya mtu.
Yule under 18? Yaani lile ni changu lililokubuhu. Lina mtoto mmoja ambaye hata baba yake hamjui. Pia linabadilisha majina kila mara. Mara Zahara, Salma, Mwajuma, Esther, Joyce.Ni wapi alipo lalamika kama ilivyokuwa kwa kapuya na yule under 18 wake?
kwa sheria ya kislam: kwa sababu mbowe na kapuya wote wametoka nje ya ndoa adhabu yake ni kupigwa mawe mpaka kufa.
Kwa kweli siasa ni kitu cha ajabu sana. Gazeti la mtanzania daima liliandika ishu ya kapuya kwa muda wa wiki mbili ndio habari kuu front page.
wote ni wazinzi maana wote wana wake zao nyumbani. kwa mujibu wa sheria za dini. sheria ya ndoa ya sasa inaruhusu kuowa binti wa miaka 15 na ndio inapigiwa kelele kubadilishwa.
Hata kama kahaba mbona linalalamika limeambukizwa ukimwi na kapuya?Yule under 18? Yaani lile ni changu lililokubuhu. Lina mtoto mmoja ambaye hata baba yake hamjui. Pia linabadilisha majina kila mara. Mara Zahara, Salma, Mwajuma, Esther, Joyce.
ipi?............ndiyo....
kwani huyo mlengwa wa mbowe alikuambia amekubali kwa hiari au kama fadhila ya kupewa ubunge? kwani umeshaenda kumpima na kumkuta hajaambukizwa vvu? hapa naongelea uzinzi ambayo ni dhambi wametenda wote kuwaacha wake zao nyumbani kuanza kuruka na njia
Appart from the lewisky's case?Actually a lot ... soma.
Kwa kweli siasa ni kitu cha ajabu sana. Gazeti la mtanzania daima liliandika ishu ya kapuya kwa muda wa wiki mbili ndio habari kuu front page.
Leo hii wanatetea ya mbowe kukatisha safari ya mbunge wa viti maalum na kumuita dubai jiji la maburudani kwa kusema eti hayo ni "mambo binafsi na yanatakiwa kubaki huko huko chumbani".
Ama kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu.utabambwa tu
Kwa kweli siasa ni kitu cha ajabu sana. Gazeti la mtanzania daima liliandika ishu ya kapuya kwa muda wa wiki mbili ndio habari kuu front page.
Leo hii wanatetea ya mbowe kukatisha safari ya mbunge wa viti maalum na kumuita dubai jiji la maburudani kwa kusema eti hayo ni "mambo binafsi na yanatakiwa kubaki huko huko chumbani".
Ama kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu.utabambwa tu