hilo liko wazi.....ndiyo maana hata kwa mkapa mengi talivumishwa oooh mke ni wa mramba kapewa kutimiza sifa tu ili awe rais lakini sisi tulijua mambo ya ndoa yake hayatuhusu...
Ya kapuya ni ubakaji sio uzinzi!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
kwani mbowe nae amebaka????? au ndio umekua muathirika wa mfumo wetu wa elimu....
Tofautisha Tuhuma za Mbowe na Ubakaji wa kapuya.
Kwa kweli siasa ni kitu cha ajabu sana. Gazeti la mtanzania daima liliandika ishu ya kapuya kwa muda wa wiki mbili ndio habari kuu front page.Leo hii wanatetea ya mbowe kukatisha safari ya mbunge wa viti maalum na kumuita dubai jiji la maburudani kwa kusema eti hayo ni "mambo binafsi na yanatakiwa kubaki huko huko chumbani".
Ama kweli ukiwa muongo usiwe msahaulifu.utabambwa tu
Mbowe walikubaliana na kapuya alibaka acha udivision 5.
wote ni wazinzi maana wote wana wake zao nyumbani. kwa mujibu wa sheria za dini. sheria ya ndoa ya sasa inaruhusu kuowa binti wa miaka 15 na ndio inapigiwa kelele kubadilishwa.
Nashangaa sana Watanzania badala ya kushughulikia maswala ya kupanda Kwa bei ya vitu kama umeme na mengineo wamekalia kuongea mambo binafsi ya watu