Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Status
Not open for further replies.
hapana mimi simtetei mboooo, mbowe kweli babaangu!! ila nataka tuansie kule kule kwa jk babaaangu!
sasa ni hifi babaangu, kwa kuwa nakubali kuwa mbowe amezini, jee upo tiyari kukubaliana na ukweli kuwa jk ni mzinzi, mwinyi ni mbakaji, kapuya ni mbakaji na kwamba makamba naye ni mbakaji? tukubaliane basi mkuu...au kama hutaki kukubaliana basi tukubaliane kutokubaliana.

kifupi ni kwamba lengo la kuunga mkono mabadiliko ni kuyapinga mengi kama sio yote yanayofanywa na utawala wa maccm yakiwamo hayo uliyoyatata hapo juu.
sasa ajabu inakuja pale mbowe ambaye ni kiongozi wetu mkuu wa hayo mabadiliko tuyatakayo anapotenda sawa sawa na hao tunaowapinga!!
kwa namna flani, anatuhujumu wapenda mabadiliko kwa kukatisha watu tama coz baadhi ya watu mwisho wa cku wataona chadema na maccm WOTE ni wale wale tuu!
 
Mkuu, huwezi kutuchagulia mada za kujadili humu. Wewe kama unaona hayo yanafaa kujadiliwa, usilazimishe watu. Sisi tumejikita huku kwaninhili pia linapaswa kupewa nafasi. Tukiacha hili likapita hewani, tutakuja kutawaliwa na wabakaji mwisho wa siku wakahalalisha matendo ya ubakaji kwenye katiba yetu. Huwezi kutegemea mtu kama Lema wakapinga ubakaji kwa vile namyeye ni mbakaji

Lizaboni;
Leo siku yako isingeenda vizuri kama usingalimkumbuka Lema. Kwako mbakaji kiongozi ni Lema tu. Ka.pu.yaaa huyo sio kiongozi? Lema kabaka mtoto wa shule?
Unatutoa kwenye hoja zenye nguvu unatupeleka kwenye mambo yasiyo na uthibitisho? Kweli buku 7 zinawalewesha. Mko humu JF kusumbua muda wa Great Thinkers tu. Tusijadili mambo yawezayo kutuinua tubaki kuwajadili watu.
Huo ni udaku na udaku mahali pake sio hapa. Hata mfanyeje, bado tutawaumbua tu kwa hoja murua za mnavyoiangamiza nchi yetu Tanganyika.
Sintakuchagulia hoja za kujadili bali nitakufundisha hoja nzuri za kukimbilia kujadili. Lumumba guys mnawaza vine..e tuuuu? Unadhani ni rahisi hata huyo Joyce akusalimie?? Pu.ngu.ani tu weye.
 
Kumbukeni watu wameichoka ccm kwa mabaya yanayotendwa na viongozi wake. Co sababu ya sera zake. Kwa maana hiyo wanaotetea tabia mbaya ya viongozi wa cdm kwa kivuli cha viongoz wa ccm MNAKOSEA SANA. Na hao tunaowaona viongoz wetu watarajiwa watatudharau coz washajua weakness zetu za kutete tabia mbaya binafsi.

hatutetei, ila tunataka tuanzie mwanzo ulipoingilia msumari
 
Rais alishasema mvua inaletwa na mungu ....
kiherehere cha vigoli ndiyo kinchowapa mimba

Huyo pia ni rais wako wewe na Lema, ila usimwamini kwa sababu rais haihitaji board certification, siyo kazi ya kitaalam.
Dah, hapo kwenye RED nakumbuka cku anaongea huku amekinga mgongo "mi ningekuwa na uwezo wa kuleta mvua, ningeenda pale Mtera, (kisha akakinga mgongo) nanyeeeesha weeeeee hadi bwawa linajaa....!" Aisee, nakumbuka nilitamani nimvamie nimtie vichwa halafu nikaozee jela.
 
Lizaboni;
Leo siku yako isingeenda vizuri kama usingalimkumbuka Lema. Kwako mbakaji kiongozi ni Lema tu. Ka.pu.yaaa huyo sio kiongozi? Lema kabaka mtoto wa shule?
Unatutoa kwenye hoja zenye nguvu unatupeleka kwenye mambo yasiyo na uthibitisho? Kweli buku 7 zinawalewesha. Mko humu JF kusumbua muda wa Great Thinkers tu. Tusijadili mambo yawezayo kutuinua tubaki kuwajadili watu.
Huo ni udaku na udaku mahali pake sio hapa. Hata mfanyeje, bado tutawaumbua tu kwa hoja murua za mnavyoiangamiza nchi yetu Tanganyika.
Sintakuchagulia hoja za kujadili bali nitakufundisha hoja nzuri za kukimbilia kujadili. Lumumba guys mnawaza vine..e tuuuu? Unadhani ni rahisi hata huyo Joyce akusalimie?? Pu.ngu.ani tu weye.
si afadhali wangeishia kuwazia tu hivo? tatizo na kwenye kuwazia mikun.d. pia wapo. gamba ni gamba tu..no way.
 
kama mkulu wa nchi katekeleza kwani mbowe yeye nani?

samahani kamanda, mbona unatoa poor reasoning na unarekebishwa na bado huelewi?!
yaani kwa lugha rahisi kabisa unatuambia CHADEMA = CCM!!!!!!!!
 
Clinton alikuwa impeached, Mandela alichapiwa kwa hiyo hakufanya jambo la kipuuzi kama alilofanya Mbowe.
Kama katiba ya CDM inatilia mkazo famili kama ndiyo kiini cha utawala (conservatives pillar) basi waonyeshe mfano na siyo kuweka vifungu kwenye katiba yao ili wapte wafadhili ilhali ni chma cha wasiooa na waasherati.

Tundu Lissu amejishusha.
Mbona hamumzungumzii mzee wa magogoni? kila siku kukicha anaoa na kuacha tena kwa kutumia kodi zetu....huku mtaani ana watoto kibao...Huyu ndiyo kiongozi wa kuzungumzia kwanza.
 
Kwa nini Lissu amsafishe Mbowe badala ya Mbowe kujisafisha mwenyewe? Rais wa Ufaransa juzi kajitokeza na kuzungumzia kashfa ya ngono ambayo amesema ni private matter lakini ataizungumzia kwa kina mara tu atakapotoka kukutana na Obama.
 
Vyovyote iwavyo uadilifu huanzia ndani.

Tundu huwezi kutuambia kuwa uache mke ulokabidhiwa kihalali toka kwa wazazi wake, uende ukatomba malaya huko nje kuwa ni jambo la kawaida na eti mtu huyo ni muadilifu?

Mungu asingekataza uzinzi km hilo lingekuwa jambo la kawaida. Bill Clinton alikiri mbele ya Hillary na mbele ya wamarekani kuwa aliteleza mbona Mbowe hafanyi hivyo, leo Mbove anatomba mbunge mwenziwe ki-chadema hiyo ni sawa, kesho akitomba mtoto wa shule....! sasa kiongozi mkuu wa chama anauroho wa uchi hatosheki na mke wake wa halali.

Tundu mbona husemi yule waziri mdogo wa Uingereza aliyejiuzulu kwa kutembea na changudoa? hv Tundu wewe ni muumini wa dini gani? je dini yako ama ya mwenyekiti wako inaruhusu kutombatomba nje? siku alipooa aliapa mbele ya padre na wazazi wa mwanamke kuwa atakuwa muadilifu hadi kifo kiwatenge leo anavunja kiapo cha imani kwa kuendekeza umalaya..!

Vp katiba yetu itakaa salama mbele yake km kiapo cha mungu amekivunja je itakuwa katiba iloandikwa na binadamu

unaonekana ni muumini mzuri sana ila si wa dini bali wa siasa za kukombeleza sasa hapa kama nae co msafi nan msafi cha tawala kikwete ana vimada wangap mbona tunasema tu sehem moja?? then vip we ushawah fanywa uyaongeayo hapo mbona matusi ni dhambi ndo maana kukawa na maneno mbadala kwahyo ukaona neno hilo ni bora kwako unyoshapo kidole hakikisha wewe ni msafi sasa hapa unakosoa au tukuone bingwa wa maneno machafu??
kijana na was was kuwa huna elimu yyte na wala hukwenda shule huna ulisimamialo zaid ya kusukumwa na upepo kama bendera.
tupe mfano wa kiongoz wa CCM au yeyote Tanzania aliyesimamia kiapo chake cha ndoa na cha serikali.
tumia akili kwanza hivi sio vitu vya kujadili hapa cha kujadili ni kwanini maisha yanakuwa magumu kadri siku znavyozid songa haya ya ndoa mara ugoni hayatatusaidia chochote angalia utendaji wa mtu na ujudge kuanzia hapo hayo mengne ni upuuzi tu.
huyo aliyetoa tuhuma hizi kwa Mbowe nae ana matatizo yake kama haya na mbowe kukaaa kimya ana akili sana coz ni jibu la mjinga ameonesha Mwigulu sio tu mjinga bali ni tahaira.
 
Haya sasa Pasco, yaleyale maneno ya jamaa yako. Hapa ina maana Mkono naye anahusishwa moja kwa moja kuwa Mkono pia alihonga fedha ili apite bila kupingwa. Jiwe la Lissu kweli kali sana na effect haitakwisha sasa hivi.
Viongozi wa CHADEMA ni majanga tupu.

Kwa hiyo kumbe Mh. Mbowe ni mzinzi kwa maana nyingine, tuhuma hizi ni za kweli.

Sasa kama maswala ya Uzinzi ni private affairs. Vipi hili swala la kupewa millions pesa za Tanzania na wale wale kila mara alikuwa akipanda kwenye majukwaa alikuwa anawaita mafisadi.

Pesa za huyu kada wa CCM alizochukua nazo ni private affairs

View attachment 132573

Tunaomba tufahamu mipaka ya private affairs nchini

Kama ameweza kuijibu hoja ya uzinzi, kwa nini hakutaka kuijibu hoja ya "double agent" kwa maana kuwa, mchana ni mpiga vita mafisadi na usiku ni mpokea pesa za mafisadi
 
Last edited by a moderator:
Dah, hapo kwenye RED nakumbuka cku anaongea huku amekinga mgongo "mi ningekuwa na uwezo wa kuleta mvua, ningeenda pale Mtera, (kisha akakinga mgongo) nanyeeeesha weeeeee hadi bwawa linajaa....!" Aisee, nakumbuka nilitamani nimvamie nimtie vichwa halafu nikaozee jela.

Hahahahahaaaaaa....umenikumbusha mkuu. Dah! 2015 ifike tu inshallah tufanye Sub
 
ukifuata mambo ya chadema lazima utachanganyikiwa, hawajui wanalolitaka katika siasa kama ni umaalufu mitaani, maisha bora kwa watanzania ama ni kusubiri pesa za ruzuku wahonge mahawala zao magari na vipodozi.

Em acha mambo ya hovyo wewe?ni viongizi wangapi wa ccm wachafu mbayaaa ila watu wanakausha kwani ni mambo binafc ya mtu?? Yani nawashangaa hawa viwavi walivyoshadadia mambo ya mbowe kuliko ata mkewe. Ivi mnadhani kwa mbinu izo ziczo na tja ndo mtaichafua chadema au??? Baaaaadae sana. Watanzania wa sasa tunajielewa.
 
we kabanga unataka kiongoz akilala na mwanamke awaambie wananchi wangu leo nmelala na huyu na kesho ntalala na yule hiv unayajua ayafanyayo Komba?? Tumia akili hiv kwenye suala la uzinzi nan atapona?? kuanzia ikulu mpaka huku mtaani hata wewe ni mzinzi vilevile.
kidanha, sina maana hiyo uliyosema kwamba leo akilala na dada au dadangu aseme hadharani... wajua uzinzi sio jambo la sifa japo sasa linaoneka lakujisifia saana!
sasa kiongozi hupaswi kufanya sifa, ikiwa vipi oa zaidi jamii ijue jamaa ana wake 2 au wa4, au tangaza hadharani jamani eh... nina mke mmoja na mahawara wata5!
 
Last edited by a moderator:
Watu wanajadili hili suala na povu jingi kweli hahaahahhaa tuweni wakweli hapa Bongo ni kiongozi gani ameshinda katika hili eneo wawe waliopo au waliopita??? African believe in polygamy full stop viongozi wetu kama si wote full vimada hahahaaa jadili mambo ya msingi ya kitaifa
 
Anayejidai kuwa mwaminifu katika maisha yake na awe wa kwanza kumrushia mawe Mbowe. mara nyingi wazinzi wakubwa ndio wanaopakazia wenzao kwa uzinzi. Acheni Mbowe afanye kazi kwani umesikia watawala wa Afrika uzinzi ni adui kwao? Ya kwenu mbona hamujianiki? Wazinzi wanadhani kwa kuwapakazia wenzao kwa uzinzi ndio watafaulu kuwadondosha na ndio maana waafrika hatuendelei. Miafrika ndivyo tulivyo. Giza saa zote na tunajidai tuko nuruni.
 
Ni kiongozi wa kambi ya rasmi ya upinzani tu anatembea na wabunge wake je akiwa waziri mkuu au rais si atamaliza mawaziri wake?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom