Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Kashfa ya Uzinzi: Lissu amsafisha Mbowe

Status
Not open for further replies.
Ndiyo maana wenzio wakaifuta Div. ZERO na kuipa chati Div. FIVE.
 
ukifuata mambo ya chadema lazima utachanganyikiwa, hawajui wanalolitaka katika siasa kama ni umaalufu mitaani, maisha bora kwa watanzania ama ni kusubiri pesa za ruzuku wahonge mahawala zao magari na vipodozi.

wewe mbona hujitambui ? Umelala na njaa tukusaidie ? Achana na cdm wewe !
 
Kwa sababu ni mkataba baina ya mume, mke na jamii waliyopo.
Ndoa is public, ni mkataba unaotakiwa uwe published in public records.
There's always a public interest in any marriage .... a wedding can be private.

inahusiana nini na uongozi wa kisiasa ?
 
kamanda acha kupanic, muda wote kumuwaza zito tu hata pale asipohusika - turudi kwenye mjadala, mbowe ni mzinzi na imethibitishwa hivyo na tundu lissu kwa kauli zake kwamba hayo ni masuala binafsi!!

jibu hili la riz na sally kwanza. swala limeulizwa, je, riz wa ndaniiiiiii wa nje??
 
teh, mkuu japo buku7 ndo wachokozi lakini nakuomba utumie tafsida kwa heshima ya Ikulu ya Tanzania. TUNAJUA KULE IKULU UCHAFU UPO MWINGI TU. Ila tukisema hapa utaskia tunakashifu viongozi. yale yale ya kunya anye kuku lakini si bata.

mkuu tunatambua kwamba jk kaivunjia heshima ikulu kwa kuhusishwa na tuhuma za uzinzi pia, hivyo kwa kuwa hatutaki hayo yajirudie tena ktk cku za usoni tunaanzia hapa kwa mbowe!!
sote tunakubaliana maccm hayafai tena hususani matendo ya ufisadi, uzinzi (kapuya na wengine) na mengine kama hayo, sasa mbowe anaturudisha kule kule na nyie kwa upofu wenu mnataka tuunge mkono?!
 
jk ana wake wangapi rasmi na wasio rasmi nachojua JK ana watoto 13,mchanganuo RITHIWANI na DADA yake SALAMA mama yao alishafariki na kwa mama SALMA anao watoto watano sasa hao wengine waliobaki kila mtu ana mama yake JK ndio rais wa nchi yako mseme sasa
 
Lakini jaman mbona inasemekana ndoa ya mbowe ishavunjika toka 2008.

Na kama kweli haya yanatokea mbna hatuini reaction yyte toka kwa lilian, Na pia mbowe hajasimama na kukanusha haya, ila anatumia wasemaji.

Mbowe si asimame aseme hata kauli mbili huu ya haya mambo maaan maneno yanakuwa meeengi mno.


Japo haya anaweza fanya, lakini pia privacy zake atabaki nazo.
 
Ndoa siyo jambo binafsi.

wewe mpuuzi haswa eti ndoa si jambo binafsi!!! hayo ni makubaliano ya watu wawili wewe hayakuhusu kama unataka kuolewa na wewe tafuta wa kwako ukikosa nyamaza. wanandoa waachane au wasalitiane wewe hayakuhusu wao wanajuana wenyewe na wakati wanapendana haukuwepo. acha umbea wewe utapigwa kabang fasta
 
mkuu tunatambua kwamba jk kaivunjia heshima ikulu kwa kuhusishwa na tuhuma za uzinzi pia, hivyo kwa kuwa hatutaki hayo yajirudie tena ktk cku za usoni tunaanzia hapa kwa mbowe!!
Sote tunakubaliana maccm hayafai tena hususani matendo ya ufisadi, uzinzi (kapuya na wengine) na mengine kama hayo, sasa mbowe anaturudisha kule kule na nyie kwa upofu wenu mnataka tuunge mkono?!

hizo propaganda zenu zimeshindwa hata kabla ya kuanza , cdm haitafuti mhubiri injili , inataka kiongozi bora , na kwa hakika mbowe anatosha , mtapiga kelele lakini giza likiingia mtalala .
 
How did you know that ? CDM HAITAFUTI MALAIKA TUNACHOKITAKA NI UONGOZI BORA , HATUTAFUTI UONGOZI WA KIROHO , MMECHEMSHA KWA KISIKI SLAA MNAMUANDAMA MBOWE , HAMTASHINDA ! MARA NGAPI WEWE UMESALITI NDOA YAKO , MBONA SISI TUMEKUANGALIA TU , POOR YOU NA HIYO MIMAJITAKA YAKO !
Mimi nimeoa? Unanijua sana eeh
 
Vyovyote iwavyo uadilifu huanzia ndani.

Tundu huwezi kutuambia kuwa uache mke ulokabidhiwa kihalali toka kwa wazazi wake, uende ukatomba malaya huko nje kuwa ni jambo la kawaida na eti mtu huyo ni muadilifu?

Mungu asingekataza uzinzi km hilo lingekuwa jambo la kawaida. Bill Clinton alikiri mbele ya Hillary na mbele ya wamarekani kuwa aliteleza mbona Mbowe hafanyi hivyo, leo Mbove anatomba mbunge mwenziwe ki-chadema hiyo ni sawa, kesho akitomba mtoto wa shule....! sasa kiongozi mkuu wa chama anauroho wa uchi hatosheki na mke wake wa halali.

Tundu mbona husemi yule waziri mdogo wa Uingereza aliyejiuzulu kwa kutembea na changudoa? hv Tundu wewe ni muumini wa dini gani? je dini yako ama ya mwenyekiti wako inaruhusu kutombatomba nje? siku alipooa aliapa mbele ya padre na wazazi wa mwanamke kuwa atakuwa muadilifu hadi kifo kiwatenge leo anavunja kiapo cha imani kwa kuendekeza umalaya..!

Vp katiba yetu itakaa salama mbele yake km kiapo cha mungu amekivunja je itakuwa katiba iloandikwa na binadamu
 
How did you know that ? CDM HAITAFUTI MALAIKA TUNACHOKITAKA NI UONGOZI BORA , HATUTAFUTI UONGOZI WA KIROHO , MMECHEMSHA KWA KISIKI SLAA MNAMUANDAMA MBOWE , HAMTASHINDA ! MARA NGAPI WEWE UMESALITI NDOA YAKO , MBONA SISI TUMEKUANGALIA TU , POOR YOU NA HIYO MIMAJITAKA YAKO !

kamanda, kwani kobelo ni nani hapa tz, as far as we all know yeye ni nobody tu - ila mbowe ni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani hapa tz! huoni tofauti yao?!
uongozi bora upi unaouzungumzia usiokuwa na maadili?!
 
mkuu tunatambua kwamba jk kaivunjia heshima ikulu kwa kuhusishwa na tuhuma za uzinzi pia, hivyo kwa kuwa hatutaki hayo yajirudie tena ktk cku za usoni tunaanzia hapa kwa mbowe!!
sote tunakubaliana maccm hayafai tena hususani matendo ya ufisadi, uzinzi (kapuya na wengine) na mengine kama hayo, sasa mbowe anaturudisha kule kule na nyie kwa upofu wenu mnataka tuunge mkono?!

mkuu msumari unapoingilia ndipo hapo hapo utakapotokea. jk katufungulia njia ya kuingilia iweje tena tukaanze na mbowe? tuanzie huko huko kwa jk et al. mkuu kama tumeamua iwe mbway na iwe mbway kweli, akishaharisha tu apate adhabu bila kujali ni bata au ni kuku. na kwa heshima ya ikulu napendekeza tuanzie ikulu mkuu.
 
Nyie endeleeni kubishana...wenzenu huko wanakula bata tuu na vibebito......kama katabia kake ni hako
lazma atazeeka nako hivyo hvyo:wink2:
 
kamanda, kwani kobelo ni nani hapa tz, as far as we all know yeye ni nobody tu - ila mbowe ni kiongozi wa chama kikuu cha upinzani hapa tz! huoni tofauti yao?!
uongozi bora upi unaouzungumzia usiokuwa na maadili?!

watu wameuliza hapa nami nakumbushia tena....ritz ni wa ndaniiiiiiii au wa nje??
 
Lissu, hapana.

Uzinzi ni hatari kwa kiongozi yeyote. Madai kwamba uzinzi ni suala binafsi, basi hata wizi nalo ni suala binafsi. Vitabu vyoote vya Mungu vinakataza uzinzi na kwa wenzetu wazungu ni kosa kubwa kabisa.

Uzinzi huathiri maamuzi, huvunja heshima ya mtu, hukera haufai, haufai, haufai. Mtetee kwa mengine lakini siyo uzinzi. Kwa nini wanasiasa wa Tanzania mmegeuza vyama vyenu na uongozi kama sehemu ya kufanyia uzinzi. Lissu, acha hizo.

Uzinzi haufai na hautetewi popote duniani.
 
kwani Mbowe Alifunga Ndoa Ya Kiislam? Maana Ndoa Ya Kiislam Ndiyo Huvunjika(ga) Rasmi.
 
Tundu Lissu mwenyewe ni mhanga.

Mwaka 2010 akiwa kwenye kampeni jimboni kwake Singida alikamatwa ugoni na mke wake kwenye hoteli ya Ikungi akiwa na Christowaja Mtinda, ambaye alikuja akampigania akapata ubunge wa viti maalumu. Ilibidi wazee wa kinyaturu waingilie kati kusuluhisha ndio yakaishe lakini mwanamke wa kikuria (mke wake Lissu) ilibidi abaki Singida hadi mwisho wa kampeni.

Sasa mtu kama huyu ataacha vipi kutetea ushenzi wa mwenyekiti wake? Familia zinaumia halafu unasema ni mambo ya chumbani, nonsense!!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom