nawewe unajiita great thinker miongon mwa great thinkers? hivi great thinker unawaza mtu binafsi tena kwa mambo binafsi, badalala ya maswala nyeti ya kitaifa? ebu tujiulize, huo unaouita uzinzi wa mbowe, umesababishaje umasikin wa watanzania? umesababishaje elimu duni kwa watz? ndo unaomaliza tembo wetu na raslimali nyinginezo? ndo unasababisha garama za umeme kupanda kila uchao? jaman watanzania, tunaacha maswala ya msingi tunadeal na vitu ambavyo havitusaidii hata kidogo! tukianza kuangaliana haya maswala nani atasimama? wewe hapo hujawai kuzin? nakwambia tukianza kusema hakuna atakayepona, wachungaji, maaskofu mawazir wetu, rais, haponi mtu nakwambia! tuachane na mambo haya tuzungumze maendeleo yetu na vikwazo vyake!