Dr. Ndimu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2012
- 717
- 146
Acheni kupotosha nyie mbona kapuya aliyebaka na kuambikiza dent ukimwi hamumsemi?
ndo hicho kilichomfanya mbowe naye acheze bila kukunja goti kwa mh mukuyer?
Acheni kupotosha nyie mbona kapuya aliyebaka na kuambikiza dent ukimwi hamumsemi?
thubutu! Atubu kwani anao mpango wa kuacha hyo tabia,then joyce amwache na nani?
Mkuu, kamchezo haka ka chadema kufuta kosa kwa kuangalia kosa la mtu mwingine kamezoeleka sana. Mara utasikia Zitto kachukua fedha kwa Mkono hata mate hayajakauka unasikia Mbowe naye kachukua mkwanja kwa Lowasa. Ndo maisha yao yalivyoalafu we moshdar mpuuuzi kwel, unahalalishaje mapungufu ya mbowe kwa kulinganisha na ya jk?! kosa halifutwi kwa kufanya kosa jingine mangi!
kwahiyo chadema ni kopi and pesti ya ccm?! tumia akili!!
zito ni usaha ulioza na kunuka ule, tumeshautumbua, hatuwezi kuurudisha tena ndani ya donda...kalaghabaho mgoshi, ccm oyeeeee!!
Kwa hili hata sipo pamoja na mbowendo hicho kilichomfanya mbowe naye acheze bila kukunja goti kwa mh mukuyer?
Viongozi wa CHADEMA ni majanga tupu.
Kwa hiyo kumbe Mh. Mbowe ni mzinzi kwa maana nyingine, tuhuma hizi ni za kweli.
Sasa kama maswala ya Uzinzi ni private affairs. Vipi hili swala la kupewa millions pesa za Tanzania na wale wale kila mara alikuwa akipanda kwenye majukwaa alikuwa anawaita mafisadi.
Pesa za huyu kada wa CCM alizochukua nazo ni private affairs
View attachment 132573
Tunaomba tufahamu mipaka ya private affairs nchini
Kama ameweza kuijibu hoja ya uzinzi, kwa nini hakutaka kuijibu hoja ya "double agent" kwa maana kuwa, mchana ni mpiga vita mafisadi na usiku ni mpokea pesa za mafisadi
Hao viongozi wa CHADEMA , pamoja na mwenyekiti wake Mbowe hawasafishiki.Clinton alikuwa impeached, Mandela alichapiwa kwa hiyo hakufanya jambo la kipuuzi kama alilofanya Mbowe.
Kama katiba ya CDM inatilia mkazo famili kama ndiyo kiini cha utawala (conservatives pillar) basi waonyeshe mfano na siyo kuweka vifungu kwenye katiba yao ili wapte wafadhili ilhali ni chma cha wasiooa na waasherati.
Tundu Lissu amejishusha.
We rutajie mwingine ukiacha Zittokwa akili yako, ukiondoa mbowe mwingine anayefaa kuwa mwenyekt ndani ya chama ni zito tuu?!
alafu we moshdar mpuuuzi kwel, unahalalishaje mapungufu ya mbowe kwa kulinganisha na ya jk?! kosa halifutwi kwa kufanya kosa jingine mangi!
kwahiyo chadema ni kopi and pesti ya ccm?! tumia akili!!
Dah you made my dayHao viongozi wa CHADEMA , pamoja na mwenyekiti wake Mbowe hawasafishiki.
Tundu Lissu kisha jipa majukumu ambayo yana mdhalilisha, ni kama msafisha mashuka wa danguroni, wengine wakisha yatumia.
Mbowe hana hadhi ya Clinton wala Mandela kwa hiyo hawezi kufananishwa na hao watu.
Mbowe hata kabla ya kupata umaarufu au madaraka ya kushika dola tayari ni mtata kingono, na huo si mtaji utakaomwezesha kuchaguliwa Ikulu.
Na pengine Lissu angemuuliza vile vile baba mkwe wa Mbowe, Mzee Mtei analichukuliaje suala la ngono la mkwe wake na mbunge wake!!!!!
Ati suala binafsi?
Kwa ujumla sasa ni dhahiri viongozi wengi CHADEMA ni wazinzi, wachota ruzuku na sasa chama kinaendeshwa kama saccos.
Kwa mtaji huo hata kuifikiria CHADEMA kama mbadala wa CCM inakuwa vigumu.
We rutajie mwingine ukiacha Zitto
Duh! Matendo hayo yapo chadema tukwa hii post, lazma mtatukaniana had wazazi.
mi nnachojua au cha maana kabla haujamshutumu mtu kwanza anza na wewe mwenyewe. je hujawah kupiga uyenze nje ya mkeo au mpenz wako?
wala hili suala haliitaj mat*ko makubwa kufikiri.
Sh**zy type.
Tatizo la Lissu ni kuchanganya mambo. Ndo maana mkuu wa kaya alimpasulia alipomwambia kuwa anachanganya sheria na anawachanganya na wenzake kwa vile wanamwaminiTatizo la Lissu haongei ukweli wote:
Angewaambia pia kuwa Clinton baada ya kutembea na Monica alikuwa impeached
Angewaambia pia kuwa mzee Mandela hakufanya yeye binafsi bali mke wake ndiye aliyefanya
Na angekuwa na Rekodi nzuri.
Angetueleza kuhusu Bob Livingston, mrepublican ambaye alitarajiwa kuwa Speaker of the house alipolazimika kujiuzulu baada ya ishu yake ya kuwa na kimada kuripotiwa
Angesema kuhusu Elion Spitzer gavana wa California aliyelazimika kujiuzulu kwa aibu baada ya kutembea na malaya
Angetueleza kuhusu Gary Hart mgombea uraisi wa Democrat aliyelazimika kujitoa kugombea uraisi mwaka 1988 baada ya picha kutoka akiwa katika style za kimahaba na msaidizi wa kampeni zake aitwaye Donna Rice.
Familia ni Unit kuu ya Taifa, Unapomuumiza mkeo kisaikolojia, Ukawaumiza watoto kisaikolojia, Wewe huwezi kuwa na uchungu kwa familia kubwa iitwayo "Taifa". MBOWE KWA JAMBO HILI HAFAI KUWA KIONGOZI
Bora waishe panya kuliko kumaliza wake zetuzitto angefaa, tatizo panya wetu nyumbani jee, watapona?