FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 357
Wewe kweli mtoto wa Mjomba,
Clinton was impeached coz of what? dadavua hilo kabla ya kulinganisha nyanga na upuuzi wako ulioutundika hapa, pili Mandela ni sawa na nyundo, Nyundo kabla kugonga hugongwa kijana wangu....Mandela kabla ya Winnie unajua alikuwa ana mke ambaye bdie bibi yake Mandla; Winnie alimchomoa Mandela kwa bibi yake Mandla. Sasa tuje kwa Mbowe, sikubaliani na viongozi wanaotumia nafasi zao kulaghai wanawake lakini nawachukia sana wanawake tena mabint wadogo kama Mukya kuwa na hulka za akina Llewinsky/Winnie na wengi wengineo. Kama Mbowe ametumia uenyekiti wake kwa Mbunge wake ili apate access ya ngono basi amepoteza moral authorities lakini kama bibie alivamia ndoa ya M/kiti ilihali akijua anavunja nyumba kuu huyo ni laana.
Ni mpaka hapo tutakapjiridhisha kuwa kuna ku abuse mamlaka za org wanaoitumikia na kuhatarisha usalama wa Org. wote hawa watakuwa impeached kwa mujibu wa CDM constitution.
Ndoa na iheshimiwe, wanaokosea wanapaswa kutubu na Mungu atawakarimia rehema ya msamaha juu yao.
Clinton was impeached coz of what? dadavua hilo kabla ya kulinganisha nyanga na upuuzi wako ulioutundika hapa, pili Mandela ni sawa na nyundo, Nyundo kabla kugonga hugongwa kijana wangu....Mandela kabla ya Winnie unajua alikuwa ana mke ambaye bdie bibi yake Mandla; Winnie alimchomoa Mandela kwa bibi yake Mandla. Sasa tuje kwa Mbowe, sikubaliani na viongozi wanaotumia nafasi zao kulaghai wanawake lakini nawachukia sana wanawake tena mabint wadogo kama Mukya kuwa na hulka za akina Llewinsky/Winnie na wengi wengineo. Kama Mbowe ametumia uenyekiti wake kwa Mbunge wake ili apate access ya ngono basi amepoteza moral authorities lakini kama bibie alivamia ndoa ya M/kiti ilihali akijua anavunja nyumba kuu huyo ni laana.
Ni mpaka hapo tutakapjiridhisha kuwa kuna ku abuse mamlaka za org wanaoitumikia na kuhatarisha usalama wa Org. wote hawa watakuwa impeached kwa mujibu wa CDM constitution.
Ndoa na iheshimiwe, wanaokosea wanapaswa kutubu na Mungu atawakarimia rehema ya msamaha juu yao.
Clinton alikuwa impeached, Mandela alichapiwa kwa hiyo hakufanya jambo la kipuuzi kama alilofanya Mbowe.
Kama katiba ya CDM inatilia mkazo famili kama ndiyo kiini cha utawala (conservatives pillar) basi waonyeshe mfano na siyo kuweka vifungu kwenye katiba yao ili wapte wafadhili ilhali ni chma cha wasiooa na waasherati.
Tundu Lissu amejishusha.