Mbeya products
Member
- May 8, 2023
- 21
- 16
Hello there !
Niko Mbeya, katika Uzi huu ntakuwa naweka bei za vyakula
Mbalimbali kutoka Mbeya, kama mtu unataka utawasiliana
Na Mimi,makubaliano yatakuwa hivi, mi nitaweza kukuagizia
Kuanzia kilo ishirini, mfano Mchele au maharage
Ikiwa utaagiza kilo ishirini za Mchele, katika Kila kilo utaniwekea sh 200/=
Yaani mzigo wako wa kilo 20, utanilipa 4000 ya huduma, Kisha nitakutajia nauli
Kutoka sokoni Hadi stand, Kisha stand kuja mkoani
Mfano , kipeto Cha kilo 20 kutoka stand -dar haipungui 6000 _7000 kwa basi, nauli sokoni to stand ni kama 2000/
Kama utakuwa unachukua kilo nyingi basi tutazungumza: ukilipia parcel ntachukua na tiketi, mfano Mchele 37000/=+4000(ya huduma)+usafiri kwenda mkoa labda 10000=51000(kilo zaidi Kuna maongezi, lakini Najua hata katika basi nauli inakuwa balanced ikiwa utaweka kilo nyingi zaidi, mfano kilo 80, inaweza fika kwa 15000/(mfano), KWA ROLI PIA TUNAWEZA RATIBU, MAROLI YAPO PI
BASI NAOMBA NIWEKE BEI ZA VYAKULA HIVYO
(Bei za Sasa)
1/ Mchele Debe sh 36000/ -42000/( KULINGANA NA GRADES)
2/maharage Debe ni sh 40000-44000(inategemea na aina siyo grades)
3/Mahindi Debe ni sh 14000(Naweza Kukusagia Unga pia Nikakutumia)
4/Viaz Mviringo Debe ni sh 12000/
5/Vingine ni NDIZI. MAPALACHICHI,na pia uliza kama Kuna kitu ntakuwa nimesahau,
NB, kuhusu uaminifu, mi ni mwajiliwa,na Nina biashara nyingine mbali na MAZAO ya shambani, ila biashara yangu iko karibu na stoo za mazao hayo niliyoyataja hapo juu
Kwa mawasiliano zaidi, nipigie au Whatsapp kupitia namba 0714620945
KARIBU
Niko Mbeya, katika Uzi huu ntakuwa naweka bei za vyakula
Mbalimbali kutoka Mbeya, kama mtu unataka utawasiliana
Na Mimi,makubaliano yatakuwa hivi, mi nitaweza kukuagizia
Kuanzia kilo ishirini, mfano Mchele au maharage
Ikiwa utaagiza kilo ishirini za Mchele, katika Kila kilo utaniwekea sh 200/=
Yaani mzigo wako wa kilo 20, utanilipa 4000 ya huduma, Kisha nitakutajia nauli
Kutoka sokoni Hadi stand, Kisha stand kuja mkoani
Mfano , kipeto Cha kilo 20 kutoka stand -dar haipungui 6000 _7000 kwa basi, nauli sokoni to stand ni kama 2000/
Kama utakuwa unachukua kilo nyingi basi tutazungumza: ukilipia parcel ntachukua na tiketi, mfano Mchele 37000/=+4000(ya huduma)+usafiri kwenda mkoa labda 10000=51000(kilo zaidi Kuna maongezi, lakini Najua hata katika basi nauli inakuwa balanced ikiwa utaweka kilo nyingi zaidi, mfano kilo 80, inaweza fika kwa 15000/(mfano), KWA ROLI PIA TUNAWEZA RATIBU, MAROLI YAPO PI
BASI NAOMBA NIWEKE BEI ZA VYAKULA HIVYO
(Bei za Sasa)
1/ Mchele Debe sh 36000/ -42000/( KULINGANA NA GRADES)
2/maharage Debe ni sh 40000-44000(inategemea na aina siyo grades)
3/Mahindi Debe ni sh 14000(Naweza Kukusagia Unga pia Nikakutumia)
4/Viaz Mviringo Debe ni sh 12000/
5/Vingine ni NDIZI. MAPALACHICHI,na pia uliza kama Kuna kitu ntakuwa nimesahau,
NB, kuhusu uaminifu, mi ni mwajiliwa,na Nina biashara nyingine mbali na MAZAO ya shambani, ila biashara yangu iko karibu na stoo za mazao hayo niliyoyataja hapo juu
Kwa mawasiliano zaidi, nipigie au Whatsapp kupitia namba 0714620945
KARIBU