Karibu Tukufanyie Wiring ya umeme kwema Jengo lako kwa gharama nafuu sana.Tuna leseni na tupo kwenye mfumo wa nikonekti TANESCO

Jun 25, 2022
25
25
FUNDI UMEME.(Wiring za umeme)

-Tunafanya Wiring za umeme kwa gharama nafuu sana.
-Ikiwa umefikia stage ya kuweka miundombinu ya umeme kwenye Jengo lako wasiliana nasi, Kumbuka stage ya kwanza ni kabla ya kupiga plasta ambapo ni kuweka box za switches na kuchimbia conduit pipes ukutani.

Tuna Leseni Ya ukandarasi wa wiring za umeme na tupo Kwenye mfumo Wa Nikonekt ambapo tunakukamilishia ombi la kufungiwa umeme ndani ya muda mfupi bila kufika ofisi za Tanesco.
Mawasilino

0734840433 call/WhatsApp.
Tunapatikana Dar es salaam.
Mikoa mingine tunakufikia.

IMG_20221119_094853_977.jpg
IMG_20230318_161240_220.jpg
IMG_20211222_181621_493.jpg
IMG_20220121_120943_549.jpg
IMG_20230215_160801_710.jpg
IMG_20230215_160917_758.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220117_220413_987.jpg
    IMG_20220117_220413_987.jpg
    618.1 KB · Views: 15
Back
Top Bottom