FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.
Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.
Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.
Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.
Ni hayo tu..
Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.
Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.
Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.
Ni hayo tu..