Napendekeza nguzo zote za umeme zichukuliwe GPS coordinates, na zifungwe sensor , taarifa zote zilishwe kwenye mfumo wa Geomap ya Tanesco.

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,066
40,725
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Wazo zuri sana mkuu!

Shida implementation sasa ya hilo wazo kwa viongozi Hawa ni shuguli.
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Wenzako hii hawataki kwasababu wengi wa mameneja suala la TEHAMA limewapita kushoto hawataki kujiendeleza
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Nchi yetu ina matatizo makubwa. Hata ukifanya hivi, hizo sensor nazo zitahitaji sensor za kuonyesha sensor za mwanzo zinafanya kazi. Hii ndiyo Tanzania ya viongozi kusafiri kwa gari la kifahari kwa km 399 halafu wanamalizia kilomita ya mwisho kwa kupanda ngamia ili kubana matumizi.
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Realistically sensors huwekwa kutoka transformer moja hadi nyingine na kwa mfumo wa siku hizi mtu aliyepo Tanesco ofisini Dar anaweza kukata umeme eneo la Area C Dodoma kupitia computer program au hata kukata umeme kwenye nyumba ya bwana Rutambamba wa Robishongu Bukoba!
 
Ushauri wa kihuandisi engineering work and engineering instructions technology the technical information and communication wateja wote waingie ktk mfumo wa Google maps according satellite technology for emergency or maintenance kuwapata wateja na tarifa za mteja ktk technology technical information and communication skills online data base kama ifuatavyo
A. Kila transformer how many customers in database computerized and technology technical information and communication skills kutambua wateja wangapi wapo na size za trf na load kila mteja iwe database technology technical information and communication skills
B. Kila phase kutambua idadi wateja na load zao ilo kuwa Giza ngumu according satellite technology technical information and communication skills online data base computerized
C. Kila idara ya customers connection before connecting database itaelekeza phase ipi na load elekezi au overload itajulikana mapema tukitoka ktk mfumo manual na kuondoka wahandisi vilaza tanesco Wala mishahara na vyet bila matokeo Awana thinking capacity and a matter of think atuna wahandisi makini ndani tanesco ni vilaza serikali ijabumbulika ilo kwanini watu wawe Giza ikiwa demand zipo ktk technology technical information online data base and communication skills online data base in computerize science tarifa data base.
Na tanesco lifutwe ktk uzalishaji na matengenezo wapewe wakandarasi sekta binafsi idara zote mpaka zalula wao wabakie ktk kuza umeme tu govement sector awo vilaza waje sekta binafsi wafukuzwe uku competition skills and knowledge and experience and also results customer care needs positive changes and result not political. Tanesco kijiwe Cha wahuni wababaishaji walishashidwa kazi na ata izo bodi sio wazalendo wa kumshauri raisi vizuri wacha tutoe maoni yetu mh raisi aone na kuelewa afanye mamuzi kuwaondoa vilaza wote kero kwa wananchi na asala pia
 
Siyo Kwa Tanzania hii hao Tanesco wanayo Mifumo Yao ya kuhifadhi data za kijiografia (GIS & mpya hiyo DUMA) ingawa zipo kisiasa mno Kwa maana kila Mkurugenzi akiingia anakuja na wazo lake hivyo kufanya Mifumo mingi inadumaa na kurudi nyuma Kwa kila utawala .
Ndani ya hiyo Mifumo kuna kila kitu kinachohusu njia za umeme (HV , MV & LV) kuanzia nguzo vishikio vya waya na waya zenyewe tena Kwa urefu na ukubwa wake tatizo Mifumo ya Tanesco iko na umbali mkubwa mno hivyo kusema vifungwe vifaa vya kujua fault iko wapi hii bado mfano njia ya 11KV kutoka KATAVI power station inatembea hadi wilaya ya Tanganyika iko na 100+ Km tena inapita kwenye mapori na misitu hapo hizo fault tambuzi utafunga ngapi na Kwa mfumo gani zaidi ya kujitia uchizi tu( Hapo karibu kila mkoa upo na long distance feeders). Hapa Tanesco wangepunguza urefu wa njia za umeme Kwa kujenga vituo vya kupozea umeme vingi kama walivyoanza na mradi wa grid imara hii itasaidia katika kuweza kuzifahamu shida za njia hizo na kufanya wepesi wa kuzifungia hizo fault tambuzi na kufanya mfumo ukae vizuri Kwa geografia pokezi ya taarifa za wateja na miundombinu Kwa ujumla.
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Mawazo mazuri sana mkuu ila naongezea nguzo zoteee ziwe zile za zege badala ya nguzo za miti..... Mwisho hivi wewe ni mtaalamu GIS unisaidie kazi fulani?
 
Wenzako hii hawataki kwasababu wengi wa mameneja suala la TEHAMA limewapita kushoto hawataki kujiendeleza
Hahaaaa... Hivi ile issue ya miaka ya nyuma ya kuweka mifumo ya computers kwenye vituo vyote vya polisi vya wilaya ili kuunganisha kwenye mtandao nchi nzima liliishia wapi vile???
 
Realistically sensors huwekwa kutoka transformer moja hadi nyingine na kwa mfumo wa siku hizi mtu aliyepo Tanesco ofisini Dar anaweza kukata umeme eneo la Area C Dodoma kupitia computer program au hata kukata umeme kwenye nyumba ya bwana Rutambamba wa Robishongu Bukoba!
Hakuna kitu aisee, umeme unajikatikia hovyo hovyo na bila taarifa yoyote...
 
Mawazo mazuri sana mkuu ila naongezea nguzo zoteee ziwe zile za zege badala ya nguzo za miti..... Mwisho hivi wewe ni mtaalamu GIS unisaidie kazi fulani?
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Taarifa za kila nguzo na uhakika zipo.
Taarifa ya kupata wakati wa fault ndio issue kwa feeder zenye branches kwakuwa line impedance ni ngumu kuipata.
Hii inawezekana kwa line isiyokuwa na branches kwa kufunga distance relays. Hii system ya distance relays imefungwa kwenye Transmission Line zote then inakuwa easy kuonyesha tatizo lilipo.
 
Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme.

Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa moja itajichora ramani ya mfumo mzima wa nguzo, na jinsi umeme ulivyo upatikanaji wake kwa wakati husika.

Taarifa za kukatika umeme zitakuwa zinajituma zenyewe automatically kwenye data feed ya mfumo, ni kiasi cha kufungia alerts kama unavyofungua notifications kwenye simu, na meneja wa mkoa husika wa Tamesco ataweza kuwa na live feed ya hali ya upatikanaji umeme.

Hii itarahisisha utoaji taarifa za kuanguka kwa nguzo, nk, ambapo mtoa taarifa atataja code number ya nguzo, na moja kwa moja Geomap itaonyesha nguzo ilipo na itashugulikiwa haraka sana. Hata kuomba umeme itakuwa rahi kwenye masuala ya Geolocation ya muombaji.

Ni hayo tu..
Kwa kuanzia nguzo na line zipewe tu specific identification number... Ili kusaidia utoaji wa taarifa.

Hili pia liende kwa mabomba ya maji, color scheme inaweza kutumika kutofautisha mabomba makubwa na madogo huku tukitumia nguzo specific kama alama ya ziada tunapofuatilia Hitilafu kwa uharaka.

Japo mpk Sasa tuna barabara na Mitaa yenye majina kuongeza na nguzo kuwasaidia kuongeza ufanisi.

Wazo zuri sana japo coordinates zinafaa only kwa watu wa ndani wa Taasisi.
 
Back
Top Bottom