Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,107
- 52,832
Kila mmoja ana pitia changamoto hapa duniani, iwe changamoto ya kifedha, uchumi,msiba na hata mahusiano.
👉 Ila kumekuwa na tatizo kwa baadhi ya wanna jamii, ambao wamekuwa wakishindwa jinsi ya kukabiliana na changamoto hizo.
Na hii hupelekea wao kujiona Kama walioshindwa, laaniwa au kutokuwa na bahati katika dunia, lakini hi si kweli kwani kila mmoja wetu katika dunia hii amepitia tatizo au majanga fulani. Na baadhi ya walikuwa wavumilivu, wenye imani, basi walivuka hatua hizo ngumu🙏🙏
nichukue fursa hii kumkaribisha Tena ndugu yangu, Kaka yangu na hata mwizi mwenzagu National Anthem, kwa kumpa pole kwa yaliyo mkuta. Nimjuze tu kuwa tuko pamoja nae hasa chama chetu Cha wizi, jf usiku wa manane na hata jamii forum kwa ujumla.
nakukumbusha kuwa majonzi ni sehemu ya mwanadamu, lakini yeye Kama baba anapaswa kukaza Moyo ili aendelee kuiongoza na kupambania familia yake🙏🙏.
👉 Nyakati ngumu hupita, ila watu imara hudumu🙏
👉Imani huamisha milima.
👉I can, I must, I will.
I mean no malice to nobody
👉 Ila kumekuwa na tatizo kwa baadhi ya wanna jamii, ambao wamekuwa wakishindwa jinsi ya kukabiliana na changamoto hizo.
Na hii hupelekea wao kujiona Kama walioshindwa, laaniwa au kutokuwa na bahati katika dunia, lakini hi si kweli kwani kila mmoja wetu katika dunia hii amepitia tatizo au majanga fulani. Na baadhi ya walikuwa wavumilivu, wenye imani, basi walivuka hatua hizo ngumu🙏🙏
nichukue fursa hii kumkaribisha Tena ndugu yangu, Kaka yangu na hata mwizi mwenzagu National Anthem, kwa kumpa pole kwa yaliyo mkuta. Nimjuze tu kuwa tuko pamoja nae hasa chama chetu Cha wizi, jf usiku wa manane na hata jamii forum kwa ujumla.
nakukumbusha kuwa majonzi ni sehemu ya mwanadamu, lakini yeye Kama baba anapaswa kukaza Moyo ili aendelee kuiongoza na kupambania familia yake🙏🙏.
👉 Nyakati ngumu hupita, ila watu imara hudumu🙏
👉Imani huamisha milima.
👉I can, I must, I will.
I mean no malice to nobody