antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,677
- 120,310
Mkuu, tupia namba ya simu basi
Safi mkuu, mwisho wa mwaka ninapita huko kusini ngoja niiweke kwenye ratiba yangu aiseeNakukaribisha Njombe uwekeze,sehemu pekee ambayo kuna wafanya biashara na wakulima....sehemu pekee ambayo utajifunza kubana matumizi ya pesa(ubahili)...
Mahali ambapo parachichi linalohitajika sokoni linastawi vizuri
Mahali ambapo miti ya mbao aina ya pains inapandwa na watu na ndio dhahabu ya wananjombe....sehemu ambayo njaa tunaisikia tu...ila usipokuwa na akili maisha sio rahisi ila hili nadhani kote...
KARIBUNI NJOMBE NCHI YA AHADI...
Miundo mbinu haijawahi kuwa changamoto...sehemu zote za huu mkoa zinafikika,kwa kiasi kikubwa mkuu...pia nia mkoa mpya una fursa nyingi...nimezunguka baadhi ya mikoà hata ile mikongwe maisha ya hapa hayajanifukuza kwakweli...Safi mkuu, mwisho wa mwaka ninapita huko kusini ngoja niiweke kwenye ratiba yangu aisee
Naomba kujua ABCs kuhusu miundombinu ya barabara na umeme kama ni mizuri
Umenena....wazuri hao kwa hizo mamboVipi biashara na ushirikina? Wageni watapaweza?
asante mkuu nitafika huko mwisho wa mwaka nije kuona fursa aiseeMiundo mbinu haijawahi kuwa changamoto...sehemu zote za huu mkoa zinafikika,kwa kiasi kikubwa mkuu...pia nia mkoa mpya una fursa nyingi...nimezunguka baadhi ya mikoà hata ile mikongwe maisha ya hapa hayajanifukuza kwakweli...
We mwenyejiMatalawe, Mgendela, Nzengelendete, Chaugingi, Melinze, Ramadhan, Ruhuji, Mjimwema, Kibena, Kihesa mpaka Ngaranga dah Njombe enzi hizo, nitakuja tena
usinikumbushe, ni sehemu zenye wanawake wenye visimi vikubwa hahaaha. hadi raha. ila wako busy kuoga shida, wanatafuta maisha kama wanaume vile.Nakukaribisha Njombe uwekeze,sehemu pekee ambayo kuna wafanya biashara na wakulima....sehemu pekee ambayo utajifunza kubana matumizi ya pesa(ubahili)...
Mahali ambapo parachichi linalohitajika sokoni linastawi vizuri
Mahali ambapo miti ya mbao aina ya pains inapandwa na watu na ndio dhahabu ya wananjombe....sehemu ambayo njaa tunaisikia tu...ila usipokuwa na akili maisha sio rahisi ila hili nadhani kote...
KARIBUNI NJOMBE NCHI YA AHADI...
Nilikaaa Njombe miaka 4We mwenyeji
Naja mkuuNakukaribisha Njombe uwekeze,sehemu pekee ambayo kuna wafanya biashara na wakulima....sehemu pekee ambayo utajifunza kubana matumizi ya pesa(ubahili)...
Mahali ambapo parachichi linalohitajika sokoni linastawi vizuri
Mahali ambapo miti ya mbao aina ya pains inapandwa na watu na ndio dhahabu ya wananjombe....sehemu ambayo njaa tunaisikia tu...ila usipokuwa na akili maisha sio rahisi ila hili nadhani kote...
KARIBUNI NJOMBE NCHI YA AHADI...
Pale naona ni kilimo zaidi.Je kuna fursa nyingi za biashara ukiondoa kilimo
Hiyo ndio fursa uloiona!! Daah!usinikumbushe, ni sehemu zenye wanawake wenye visimi vikubwa hahaaha. hadi raha. ila wako busy kuoga shida, wanatafuta maisha kama wanaume vile.