Karibu Njombe,Virgin Southern land

Baadhi ya Mazao utayoweza kulima njombe
*Mahindi
*maharage
*viazi mviringo
*kabichi na jamii zote za mboga za majani
*maparachichi
*Maua ya Rose (uwemba)
*mashamba ya miti
* Ma Apple
*ma pinikesi
Alafu mpuuzi mmoja anafananisha njombe na ifakara hahahahaa alafu hajui njombe inaanzia wapi na kuishia wapi
Kwa nyongeza tu ni kwamba eneo salama kuishi binadamu kwa maana ya hali ya hewa ni Nyanda za juu kusini kwa ujumla wake, humo sasa ukianza na ukanda wa Njombe, Mufindi, Uporoto Mby,Kilolo. Nje ya hapo ni Lushoto, Rondo,klm na A town, sana sana ni Heru juu.
Karibu sana Njombe.
 
Duh...mzee njombe unaifahamu kweli
Ndiomaa nakwambia nimeishi Njombe kwa miaka 10,Njombe ni dhaifu sana ukitoka kibena hospital hadi uwanja wa ndege bhasi mji umeisha.Ukivuka mbele kidogo unaenda kifanya.Ukitoka NMb pale hadi halimashauri ya mji Njombe nyuma kule anakoishi kalubandika bhasi mji umeisha

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Unataka maendeleo ya kujengeka makazi??? Huyo jamaa anazungumzia fursa za kuwekeza katika kilimo mkuu. Na sehemu ambayo watu bado hawajaamka sana ndiyo kuzuri kuwekeza. Au wewe unataka kuona maghorofa mengi???
Huko kwenye uwekezaji wao ni kulima miti,lakini ukilima miti wale wabena wanaichoma moto.Na mi pines ukiichoma moto bhasi haikui tena inakufa

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Huko kwenye uwekezaji wao ni kulima miti,lakini ukilima miti wale wabena wanaichoma moto.Na mi pines ukiichoma moto bhasi haikui tena inakufa

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Acha upuuzi wewe kuwaaminisha watu uongo, mbona Mimi Nina jamaa zangu nilioishi nao wanalima miti na ndio biashara yao haichomwi kama unavyosema, moto ni ajali kama zilivyo ajali nyingine ikitokea imetokea lakini si kutisha wenzio
Alafu usichofahamu Njombe mtu anaweza kulima kilimo zaidi ya miti na akafanikiwa, wewe njombe unayoijadiri wewe ni ile ya barabara ya ruhuji mpaka stend mpya (ni ufinyu wa akili sana) njombe kuna kulima viazi,Maua,ma apple, maparachichi,mahindi,maharage n.k na usisahau kua moja ya jamii wakarimu zaidi Tanzania ni wabena
 
Tahadhari gani kwa mgeni inahitajika mbali na uwepo wa fursa ulizotaja mkuu?

Njombe ni mji wa kazi, kwa maana wananjombe wanafanya kazi muda mwingi kwa siku, hasa mchana. Tahadhari ya kwanza uingiapo Njombe kwa ujumla wake ni maambukizi ya viluilui basi.
 
Njombe ni mji wa kazi, kwa maana wananjombe wanafanya kazi muda mwingi kwa siku, hasa mchana. Tahadhari ya kwanza uingiapo Njombe kwa ujumla wake ni maambukizi ya viluilui basi.

Viluilui... Si nabaki na wangu tu akizingua nitafikiria mengine kuepuka hivyo viluilui.
Ila nimetokea kuwapenda watu wa Njombe, Kazi Kazi.
 
Kiukweli kwa vijana wenye mitaji ya kawaida hawawezi kukosa kubuni shughuli ya kufanya na kupata kipato akiwa njombe lakini maeneo mengine ni ngumu. Kuna minyololo ya thamani ya vitu vingi hivyo unachagua wapi ukae ili uweze kuingiza kipato.
 
Viluilui... Si nabaki na wangu tu akizingua nitafikiria mengine kuepuka hivyo viluilui.
Ila nimetokea kuwapenda watu wa Njombe, Kazi Kazi.

Kama una nidhamu ya kutosha, kuishi nyanda za juu kusini lazima utusue tu. Njombe hakuna longo longo ni kazi. Starehe zipo sawa na hadhi ya mji wenyewe na hali ya hewa.
 
Je kuna fursa nyingi za biashara ukiondoa kilimo
Sehemu yenye kilimo halafu mjini iashara lazima iwepo...njombe inapokea wafanyakazi na wagen wengi kila simu,tena wengine toka nje ya nchi...wigo wa biashara ni mpana sana,ukizingatia vitu ya biashara vingi vya huku ni vya chakula,as we all know hakuna biashara kama chakula
 
Sehemu yenye kilimo halafu mjini iashara lazima iwepo...njombe inapokea wafanyakazi na wagen wengi kila simu,tena wengine toka nje ya nchi...wigo wa biashara ni mpana sana,ukizingatia vitu ya biashara vingi vya huku ni vya chakula,as we all know hakuna biashara kama chakula
Shukrani mkuu
 
Baadhi ya Mazao utayoweza kulima njombe
*Mahindi
*maharage
*viazi mviringo
*kabichi na jamii zote za mboga za majani
*maparachichi
*Maua ya Rose (uwemba)
*mashamba ya miti
* Ma Apple
*ma pinikesi
Alafu mpuuzi mmoja anafananisha njombe na ifakara hahahahaa alafu hajui njombe inaanzia wapi na kuishia wapi
Nina mpango wa kuwekeza kwenye kilimo cha maharage na viazi ..Njombe
 
Back
Top Bottom