Karibu Dom .........The Finest

Karibu Dom .........The Finest

Nimekuletea zawadi nyingi sana zaidi ya hizo ila wakati wakuja kuzichukua uje peke yako..:eyebrows::eyebrows::eyebrows:
Haaaa haaaa!
Usijali najiamin wala sihitaji kusindikizwa,
Na hivi cku hizi umejaa upako lol,
Nipe location tafazali niibuke!
 
Haaaa haaa haaa,lol!
Nipe kd 15 nitakuwa hapo,
Tukutane mapokezi tafadhali!
Nina aleji na na lifti na ngazi huwa sipandi kbs lol!
Okay ngoja nichukue lift kabisa nishuke chini fasta tukapige stori hapo kwenye coffee lounge
 
Ha ha ha, na mie kwa umbea. Hapa nimefungua macho, maskio, roho na mwili.
Potelea mbali, kusutwa suna.

Ila The Boss kaenda wapi, nampigia tangu jana hapokei. TF ulimpeleka wapi, mara ya mwisho ulimpitia home.

:lol::lol: Majibu ninayo tayari...lol:eyebrows:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom