mavumbamakasha
Senior Member
- Aug 18, 2020
- 162
- 310
Kwa mtu aliyewah kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu aje atoe experience. Nikiona mtu anatangaza kupotelewa na ndugu ua nashikwa na uchungu sana mpaka najiuliza nduguze hali ikoje.
Mtoto wa nduguyo ni wako. Kwa mzazi yeyote lazima ataelewa hii feelingLabda awe mtoto wako,mme au mzazi ndio inauma wengine wapote
Inasikitisha jamani, poleni sana.....Braza alipotelewa na mtoto, wa kiume akiwa na 5 years. Mpaka leo ni zaid ya 17 years hajawah patikana wala kujulikana alipo
Mmmh 🙄🙄🙄Labda awe mtoto wako,mme au mzazi ndio inauma wengine wapote
Vipi wewe ni mwenyeji wa chamakweza? Naweza pata ekari hata 3Siku moja nipo Chalinze huko kata ya vigwaza, kijiji cha kuitwa Chamakweza mara naoneshwa kijana boda boda aliokotwa Ramboni na wamasai akiwa mtoto mdogo wa kutambaa, wamemlea mpaka kakua na ana mishe zake hizo za Uafisa usafirishaji ila ndguze wa damu hawaajui
Labda nikienda nikuunganishe na wenyeji, ila maeneo yapoVipi wewe ni mwenyeji wa chamakweza? Naweza pata ekari hata 3
Pamoja Sana mkuuLabda nikienda nikuunganishe na wenyeji, ila maeneo yapo
Usijali ndgPamoja Sana mkuu
Utakuwa umenisaidia Sana
Kwako akipotea kakako, dada yako, jirani wewe wala haikuumi?...Labda awe mtoto wako,mme au mzazi ndio inauma wengine wapokwako
NdioKwako akipotea kakako, dada yako, jirani wewe wala haikuumi?...