Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 562
- 502
Nauza eneo lipo msata ni karibu kabisa na Barbara kubwa umeme upo karibu sana na pia maji ni karibu sana ya dawasco. Bei ni million sita na nusu eneo ni kubwa. Karibu dm.
Probably itakuwa viporipori vya Msata hapo njia ya Bagamoyo.MSATA ipi??
Milioni 6 eneo kubwa. Ukubwa gani huo?
Sawa kuna majina ni wapi na ukubwa ganiProbably itakuwa viporipori vya Msata hapo njia ya Bagamoyo.