Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

nani anauelewa wa malipo ya hii coz mpya ya aircraft maintanance Engineering mbona ada yake kubwa sana hivi heslb watatoa kiasi gani?
 
Habari,

Kwa ambae atapenda kuja kusoma NIT, nipo tayar kujibu maswali yenu.

ila cna uelewa mzur na upangaj wa grades za ufaulu za mwaka huu

karibuni.

kunahi course ya bachelor degree in education with mathematics and information technology mbona haipo kwenye prospetus? na niyamiaka mingapi?
 
wakuu nimechaguliwa hiyo facult pale NIT dar, naomba kama kuna mwenye maelezo yeyote kuhusiana na hiyo kozi eidha changamoto zake, uzur wake na mambo mengne ikiwemo mazngira ya chuo, upatkanaj wa hostel n.k anisaidie ili nijipange kukabiliana na kila hali!
 
kunahi course ya bachelor degree in education with mathematics and information technology mbona haipo kwenye prospetus? na niyamiaka mingapi?

hata mimi nimechaguliwa hii kozi anaefaham atujuze tafadhali
 
lakini pia nafungua web ya chuo haifinguki tatzo nn?!
 
Kama uko tayari kukabiliana na kila hali, unataka ujue nini? Hongera kwa kuwa tayari kukabiliana name kila hali.
 
Hiyo ni course mpya kwa hapa chuoni lakini kwa ufahamu nilonao ni nzuri mkuu. Karibu NIT
 
jamani nani ana uelewa wa hiii coz mpya ya aircraft maintanance Engineering mbona ada yake kubwa hivyo na je heslb watatoa kiasi gani?
 
mbona website ya chuo nikjarb kuifungua haifunguki au device yang ndo yenye matatizo?
 
Kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chuo cha Usafirishaji cha Taifa kimepewa dhamana ya kuendesha mafunzo ya kozi mbalimbali kuhusu usafiri na usafirishaji pamoja na kozi kuhusu wahudumu wa ndege kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya juu.

National-Institute-of-Transport-NIT.jpg


Ukiwa mwanafunzi wa NIT unaweza kuwa sehemu ya kukisaidia chuo kuwa na mafanikio bora. Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya Chuo cha Usafirishaji cha Taifa.

======================================
======================================

Tovuti ya Chuo: Home

mbona hii website haifunguki mkuu?!
 
Back
Top Bottom