Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Nataka kusomea mambo ya magari short course lakini... Nipewe cheti cha udereva af niwe fundi wa gari... Course gan itanifaa
 
Hivi nit na mocu wapi wapo. Vizuri kwenye issue za marketing msaada jamani
Njoo nit coz ya markerting ipo full package,utasoma na public relation pia ambayo itakusaidia both side yan markerting na public relation unlike vyuo vingine vinatoa markerting na madude fulan ambayo hayakupi full package ya marketing, mie ngazi ya degree pale... Karibu sana marketing bonge la proffesion
 
Mbona chuo chenu ni kichafu sana kama magofu? yani kimekaa kama soko vile....
Pia kozi gani hapo inato watu wanaouzika?
Chuo chetu kipo karibu na soko maarufu dar es salaam kama "Mahakama ya ndizi" hence huo unaoita uchafu....Majengo chakavu ni serekali ya mkuu baba kiongoziz wa malaika kuweka nguvu nyingi kwenye bombadia na chato international airport na kusahau elimu,Elimu bora inapatikana hapa amini....au unataka majengo mazuri alafu elimu iwe mbovu....?sisi tumechagua kinyume
 
Nataka kusomea mambo ya magari short course lakini... Nipewe cheti cha udereva af niwe fundi wa gari... Course gan itanifaa
Hizo course ni separate. Utasoma Aútó mechanics kama ww ni beginner kwenye ufundi magari na pia itabidi usomee na udereva. Ila hakikisha una leseni clàss D yenye miaka 2 kabla hujasoma udereva
 
Hizo course ni separate. Utasoma Aútó mechanics kama ww ni beginner kwenye ufundi magari na pia itabidi usomee na udereva. Ila hakikisha una leseni clàss D yenye miaka 2 kabla hujasoma udereva
sina leseni yoyote nianze na ipi?
 
Habari za Asubuhi wadau ...
Nahitaji assistance ya taarifa au procedures to be done, Nina Gari Toyota Dyna box body, gari hii inatumia gas (LPG). Nataka kufanya modification and/or inspection kama this car will be OK to be used bila bugdha ya traffic Police. nimeelekezwa na mtu mmoja kua NIT wanaweza kunisaidia.. and sijajua how to start.

Regards . .
Maslino.
0754018028
 
Kuna wakati natamani sana kuja kuongeza Elimu yangu ya Udereva hapo NIT tatizo nina Elimu ya Darasa la 7 Niishia Form Three mzee akachemka kunisomesha ndiyo maana nasema ni la saba najua haitanisadia lolote Serikali na mashirika mbalimbali wanaajili wenye Elimu ya kidato Cha nne sasa mimi hicho cheti si kitaozea Ndani bila kazi.
 
Yap! ni kweli lile jengo zuri sanaa.. swala la usalama likoje hapo? maana chuo kimepakana na Manzesa na upande wa kule hauna uzio kabisaa ambapo kuna hostel za Men and Girl...

Pia kozi gani, inayotolewa hapo ni marketable zaidi..>

Alafu Best student hua wanapewa favour gani hapo?
Aircraft and Mantainance Engineering
 
Mpaka sasa tuna wizara ya uchukuzi,

tuna chombo maalum cha kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu, SUMATRA,

Tuna kitu kinaitwa IATA- international air transport Association,

tuna kitu kinaitwa CILT- chartered institute of logistics and transport, UK, ukisoma hii na ukawa registered, basi shughuli za logistics hazikusumbui..
Mkuu habari? Nawezaje kujiunga na hii program ya CILT? Nimejaribu kufuatiliwa hapa Tz lakini naona baado changamoto.
Naomba msaada juu ya hilo.
Kwa kifupi ni kamba mkuu, logistics ni multi-purpose, hakuna sehemu unayoweza kukosa kazi kwa sababu, course hii kwa kifupi ina-deal na production from point of extraction to consumption..

Kama kampuni ina magari na aina zozote za carriers, basi logistician ndie atakuwa responsible kusimamia hivi vitu;
mfano, fuel management, fleet availability, usability, fleet control nk.

Kuna sehemu mbalimbali za upatikanaji wa ajira, mfano tu nimeonesha hapo juu..

ila kwa kuongezea, logistician anaweza fanya kazi jeshini (hawa wanatakiwa sana tu kwa sababu historia ya logistics imemezwa sana na mambo ya vita),

Logistician anahusika sana na Umoja wa mataifa, UN. hii ni kwa ajili ya kupanga supply ya misaada kwa wakimbizi na watu wenye uhitaji.. UN na mashirika yake itakuhitaji sana katika kusimamia magari yake na mizigo inayosafirisha..

Bandari zote duniani zinahitaji watu wa logistics-- Imagine planning za shughuli za bandari kama hujui logistics utakuwa na efficiency ndogo sana nakwambia..

Viwanda vingi sana vinahitaji watu wa material handling... Logisticians are considered.

Mkuu, ukitoka kwa hii course ni rahisi pia kujiajiri, elimu inayotolewa NIT si ya kitoto, njoo usome.

Mpaka sasa, kuna wanafunzi zaidi ya 50 wameshafukuzwa chuo kwa sababu ya kufanya upumbavu (cheatings), we dont care about your 1.5 million, we are ''excellenting logistics''.

KARIBU NIT.
 
Back
Top Bottom