Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Mechanical eng. UKIKAZA SIO NGUMU, HOSTEL KWA DEGREE HATUPEWI, TUNAPANGA MITAANI
Habari,
Kwa ambae atapenda kuja kusoma NIT, nipo tayar kujibu maswali yenu.
ila cna uelewa mzur na upangaj wa grades za ufaulu za mwaka huu
karibuni.
Salam mkuu, ebwana kuna dogo lasi kamaliza form six kapangiwa NIT(Bachelor of automobile engineering), sasa nikiangalia mchanganuo wa ulipaji wa ada naona NTAs level nying mpaka ya 8, kwa kuwa una ufaham juu ya mambo hizo, huyo dogo anafit kwenye category gan?
vp bro joining instruction tunapata wap
Napenda kujua mkuu.kama nikilipa garama zote mwenyewe nikja kupata loan ya helsb nitakidai chuo au.vipi
the coarse of aircraft ad maintanance is available nit
Napenda kujua mkuu.kama nikilipa garama zote mwenyewe nikja kupata loan ya helsb nitakidai chuo au.vipi
nlikua napenda kupata msaada kuhusiana na hii facult ya accounting and transporting finance naomba msaada inahusiana na nn kwa sababu ni mpya nit tafadhalini