Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,962
n vzur ungenpa number zako alaf nika kupgia ili unielekeze vzur bro
kuhusu ulipaj wa ada yaan n unalipa kwa awamu 1 au awamu2 na jins ya kujiunga kiujumla
unaweza kulipa kwa semista1. Uli-apply NIT ?
2. Umechaguliwa?
3. Check website yao inaeleza kila kitu: www.nit.ac.tz
4. Mimi sipo NIT, wala sio mwanafunzi.
-Kaveli-
Kwani wameshatoa majina?Hongereni kwa kuchaguliwa NIT ndugu zang karibuni tuongeze familia
mkuu nimechaguliwa hapo procurement and logistic management lakini nataka kubadili kwenda transport and logistic management...je kati ya coarse hizi ipi ina soko zaidi? Na utaratibu wa kubadili ukoje?Kama kawa tupo likizo now!!?
AsanteeeeeeKwani wameshatoa majina?
Habari,
Kwa ambae atapenda kuja kusoma NIT, nipo tayar kujibu maswali yenu.
ila cna uelewa mzur na upangaj wa grades za ufaulu za mwaka huu
karibuni.
Mathematics ni lazima auNafkiri bado watakuwa wanachukua alama sio chini ya D nne kama sikosei, ni vizuri ukafika chuoni pia iliupate kufahamu