kendakubonaontwale
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 201
- 25
kikifunguliwaa
Asante Nashukuru
kikifunguliwaa
haya we usiulize ubora wa chuo kwani kwa mm nionavyo umuhimu wa iko chuo n mkubwa kam unatak kujua kawaulize madereva kama YESSAR ata kwambia
mbona website ya chuo www.nit.ac.tz haifungikiii??
Wakubwa Mi Nimekuwa Selected Nit Lakin Profile Yangu Bdo Haijawa Confirmed Na Mda Unakwenda What To Do?
kwa ninavyoelewa ni mafundi wa magari kwani umechaguliwa hiyo?
Mbona website yao haifunguki? Na vp kwa upande wa taaluma ukilinganisha na vyuo vingine?
Samahani wakuu mimi nmekua SELECTED hapo chuoni ila bado chuo hakijatoa majina mengine ukiacha ile batch no.3 na muda wa kuanza masomo ndio huoooo (tar 16) Vipi naweza kwenda chuo kupata admission au mpaka nisubiri watoe majina chuo.
Vema ukaenda chuo kujua utaratibu mapema kama upo karibu kuliko kusubiri hadi tarehe 16 mwisho ushindwe kufanya hata registration
Kama kawa tupo likizo now!!?Vipi wakuu, mnaendeleaje na masomo hapo NIT ?
bro mambo vp.naomba number zako some thing nataka unielekeze plzKama kawa tupo likizo now!!?