Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Wakuu salama ?
Naombeni ushauri wenu juu ya Ubora wa chuo cha NIT kitaaluma hasa katika michepuo ya Biashara kwani nataka kuomba nisome Post Graduate Diploma in Procurement and SUPPLY Chain Management katika chuo hicho.
karibuni wadau mnisaidie kimawazo.
haya we usiulize ubora wa chuo kwani kwa mm nionavyo umuhimu wa iko chuo n mkubwa kam unatak kujua kawaulize madereva kama YESSAR ata kwambia
 
Habari,

Kwa ambae atapenda kuja kusoma NIT, nipo tayar kujibu maswali yenu.

ila cna uelewa mzur na upangaj wa grades za ufaulu za mwaka huu

karibuni.
 
Nataka kuja kusoma any post graduate ktk "school of Aviation" fee ikoje...na zipo course gani...yule DR. S.LUSHAKUZ mtahalam wa transport marketing bado yupo...anafundisha au yuko bisy consultation nyingine.....?
 
Nataka kuja kusoma any post graduate ktk "school of Aviation" fee ikoje...na zipo course gani...yule DR. S.LUSHAKUZ mtahalam wa transport marketing bado yupo...anafundisha au yuko bisy consultation nyingine.....?

dr lushakuz yupo na bado anafundsha ila sio sana...ada kwa bachelor ndo imepanda mwaka huu kufikia mil 1 na km laki mbili hv...karibu
 
Mkuu vip kuhusu hostel?

kwa utaratibu wa pale chuoni kupata hostel ndan ya chuo ni ngum kdg kwa watu wa bachelor ingawa wapo wanaoish himo ila asilimia kubwa ya wanaokaa humo ni dip na cert ila nadhan kuanzia mwaka huu wa masomo 2014/15 hostel zitaanza kupatikana kwa watu wa bachelor maana kumeanzishwa mfumo wa kupishana...na pia kuna hostel zngne znataka kujengwa...hostel za nje pia zipo...karib mdau
 
dr lushakuz yupo na bado anafundsha ila sio sana...ada kwa bachelor ndo imepanda mwaka huu kufikia mil 1 na km laki mbili hv...karibu

Ada kwa bachelor takers ni 1.5 milion.. refer TCU guidebook

certificate to diploma ni 1 million..
 
Mkuu vipi kozi ya "Logistic andTransport management" kwa ngazi ya degree soko lake la ajira lipo vipi? Pia mtu akimaliza anaweza kufanya kazi gani na maeneo gani?
 
Mkuu vipi kozi ya "Logistic andTransport management" kwa ngazi ya degree soko lake la ajira lipo vipi? Pia mtu akimaliza anaweza kufanya kazi gani na maeneo gani?

Mpaka sasa tuna wizara ya uchukuzi,

tuna chombo maalum cha kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu, SUMATRA,

Tuna kitu kinaitwa IATA- international air transport Association,

tuna kitu kinaitwa CILT- chartered institute of logistics and transport, UK, ukisoma hii na ukawa registered, basi shughuli za logistics hazikusumbui..

Kwa kifupi ni kamba mkuu, logistics ni multi-purpose, hakuna sehemu unayoweza kukosa kazi kwa sababu, course hii kwa kifupi ina-deal na production from point of extraction to consumption..

Kama kampuni ina magari na aina zozote za carriers, basi logistician ndie atakuwa responsible kusimamia hivi vitu;
mfano, fuel management, fleet availability, usability, fleet control nk.

Kuna sehemu mbalimbali za upatikanaji wa ajira, mfano tu nimeonesha hapo juu..

ila kwa kuongezea, logistician anaweza fanya kazi jeshini (hawa wanatakiwa sana tu kwa sababu historia ya logistics imemezwa sana na mambo ya vita),

Logistician anahusika sana na Umoja wa mataifa, UN. hii ni kwa ajili ya kupanga supply ya misaada kwa wakimbizi na watu wenye uhitaji.. UN na mashirika yake itakuhitaji sana katika kusimamia magari yake na mizigo inayosafirisha..

Bandari zote duniani zinahitaji watu wa logistics-- Imagine planning za shughuli za bandari kama hujui logistics utakuwa na efficiency ndogo sana nakwambia..

Viwanda vingi sana vinahitaji watu wa material handling... Logisticians are considered.

Mkuu, ukitoka kwa hii course ni rahisi pia kujiajiri, elimu inayotolewa NIT si ya kitoto, njoo usome.

Mpaka sasa, kuna wanafunzi zaidi ya 50 wameshafukuzwa chuo kwa sababu ya kufanya upumbavu (cheatings), we dont care about your 1.5 million, we are ''excellenting logistics''.

KARIBU NIT.
 
Mpaka sasa tuna wizara ya uchukuzi,

tuna chombo maalum cha kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu, SUMATRA,

Tuna kitu kinaitwa IATA- international air transport Association,

tuna kitu kinaitwa CILT- chartered institute of logistics and transport, UK, ukisoma hii na ukawa registered, basi shughuli za logistics hazikusumbui..

Kwa kifupi ni kamba mkuu, logistics ni multi-purpose, hakuna sehemu unayoweza kukosa kazi kwa sababu, course hii kwa kifupi ina-deal na production from point of extraction to consumption..

Kama kampuni ina magari na aina zozote za carriers, basi logistician ndie atakuwa responsible kusimamia hivi vitu;
mfano, fuel management, fleet availability, usability, fleet control nk.

Kuna sehemu mbalimbali za upatikanaji wa ajira, mfano tu nimeonesha hapo juu..

ila kwa kuongezea, logistician anaweza fanya kazi jeshini (hawa wanatakiwa sana tu kwa sababu historia ya logistics imemezwa sana na mambo ya vita),

Logistician anahusika sana na Umoja wa mataifa, UN. hii ni kwa ajili ya kupanga supply ya misaada kwa wakimbizi na watu wenye uhitaji.. UN na mashirika yake itakuhitaji sana katika kusimamia magari yake na mizigo inayosafirisha..

Bandari zote duniani zinahitaji watu wa logistics-- Imagine planning za shughuli za bandari kama hujui logistics utakuwa na efficiency ndogo sana nakwambia..

Viwanda vingi sana vinahitaji watu wa material handling... Logisticians are considered.

Mkuu, ukitoka kwa hii course ni rahisi pia kujiajiri, elimu inayotolewa NIT si ya kitoto, njoo usome.

Mpaka sasa, kuna wanafunzi zaidi ya 50 wameshafukuzwa chuo kwa sababu ya kufanya upumbavu (cheatings), we dont care about your 1.5 million, we are ''excellenting logistics''.

KARIBU NIT.

Ahsante mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
Mpaka sasa tuna wizara ya uchukuzi,

tuna chombo maalum cha kusimamia usafiri wa majini na nchi kavu, SUMATRA,

Tuna kitu kinaitwa IATA- international air transport Association,

tuna kitu kinaitwa CILT- chartered institute of logistics and transport, UK, ukisoma hii na ukawa registered, basi shughuli za logistics hazikusumbui..

Kwa kifupi ni kamba mkuu, logistics ni multi-purpose, hakuna sehemu unayoweza kukosa kazi kwa sababu, course hii kwa kifupi ina-deal na production from point of extraction to consumption..

Kama kampuni ina magari na aina zozote za carriers, basi logistician ndie atakuwa responsible kusimamia hivi vitu;
mfano, fuel management, fleet availability, usability, fleet control nk.

Kuna sehemu mbalimbali za upatikanaji wa ajira, mfano tu nimeonesha hapo juu..

ila kwa kuongezea, logistician anaweza fanya kazi jeshini (hawa wanatakiwa sana tu kwa sababu historia ya logistics imemezwa sana na mambo ya vita),

Logistician anahusika sana na Umoja wa mataifa, UN. hii ni kwa ajili ya kupanga supply ya misaada kwa wakimbizi na watu wenye uhitaji.. UN na mashirika yake itakuhitaji sana katika kusimamia magari yake na mizigo inayosafirisha..

Bandari zote duniani zinahitaji watu wa logistics-- Imagine planning za shughuli za bandari kama hujui logistics utakuwa na efficiency ndogo sana nakwambia..

Viwanda vingi sana vinahitaji watu wa material handling... Logisticians are considered.

Mkuu, ukitoka kwa hii course ni rahisi pia kujiajiri, elimu inayotolewa NIT si ya kitoto, njoo usome.

Mpaka sasa, kuna wanafunzi zaidi ya 50 wameshafukuzwa chuo kwa sababu ya kufanya upumbavu (cheatings), we dont care about your 1.5 million, we are ''excellenting logistics''.

KARIBU NIT.

Mkuu nimeomba hio programe .Wakinichagua tu nitakutafuta. please naomba uniandikie
jayyussuf2005@gmail.com
 
Back
Top Bottom