Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

mbona majina mengine hayapo na tcu wameonyesha tupo nit plzzzzz nisaidien ata celew nfanye nn
 
yan mm since nmeaply chuo cjafanya marekebsho yoyote yale na tcu wameonesha npo nit na nmechaguliwa bachelor degree ya logistics and transport management mbona jnalangu alipa na mengine yashatoka sasa apo mdo celew inakuaje nsaidien
 
sor cjakuelewa luno g naomba unifafanulie vzur

yan mm since nmeaply chuo cjafanya marekebsho yoyote yale na tcu wameonesha npo nit na nmechaguliwa bachelor degree ya logistics and transport management mbona jnalangu alipa na mengine yashatoka sasa apo mdo celew inakuaje nsaidien

majina yaliyokuja sasa hapa chuoni ni 726 ila kuna orodha ya majina mengine ambayo tayari mshachaguliwa kuja nit ila chuo bado hakijawathibitisha... hivyo confirmation ikifanyika majina yetu yatatolewa kwenye orodha ya second batch
 
Habari,

Kwa ambae atapenda kuja kusoma NIT, nipo tayar kujibu maswali yenu.

ila cna uelewa mzur na upangaj wa grades za ufaulu za mwaka huu

karibuni.

Salam mkuu, ebwana kuna dogo lasi kamaliza form six kapangiwa NIT(Bachelor of automobile engineering), sasa nikiangalia mchanganuo wa ulipaji wa ada naona NTAs level nying mpaka ya 8, kwa kuwa una ufaham juu ya mambo hizo, huyo dogo anafit kwenye category gan?
 
Habari,

Kwa ambae atapenda kuja kusoma NIT, nipo tayar kujibu maswali yenu.

ila cna uelewa mzur na upangaj wa grades za ufaulu za mwaka huu

karibuni.

naomba kujua ada na muda wa mafunzo ya udereva wa viongozi
 
Napenda kujua mkuu.kama nikilipa garama zote mwenyewe nikja kupata loan ya helsb nitakidai chuo au.vipi
 
mkuu naulizia kozi ya ufundi wa umeme wa magari kama hpo n ni kwa muda gani na bei gani? waweza njibu kupitia 0755091728
 
"Nimemaliza form four mwaka 2013, nitawezaje kujiunga na chuo cha usafirishaji katika kozi za procure and logistic log an transpo na nyingine kuanzia ngazi ya cheti na ni muda gani
 
"Nimemaliza form four mwaka 2013, nitawezaje kujiunga na chuo cha usafirishaji katika kozi za procure and logistic log an transpo na nyingine kuanzia ngazi ya cheti na ni muda gani

Fika pale chuoni,utapata maelekezo mazuri.
 
Nauliza ada ya chuo cha NIT ni shilingi ngapi kwa ngazi ya degree ya Mechanical Engineering
 
Mim nipo hapo , ada ni milion 1.2 ukijumlisha mazaga mengine jumla ni mil 1.5 tu kwa mecha na auto
 
Mkuu wew unasoma fan gan hapo.nasikia mechanical n ngumu sana
 
Back
Top Bottom