Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Daud omar

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
2,458
Reaction score
986
Kwa niaba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Chuo cha Usafirishaji cha Taifa kimepewa dhamana ya kuendesha mafunzo ya kozi mbalimbali kuhusu usafiri na usafirishaji pamoja na kozi kuhusu wahudumu wa ndege kuanzia ngazi ya cheti hadi ngazi ya juu.

National-Institute-of-Transport-NIT.jpg


Ukiwa mwanafunzi wa NIT unaweza kuwa sehemu ya kukisaidia chuo kuwa na mafanikio bora. Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya Chuo cha Usafirishaji cha Taifa.

======================================
======================================
The National Institute of Transport (NIT) is a public higher learning institution located on west of Dar-es-Salaam City, along Mabibo Road in Ubungo Light Industrial area; just about one kilometer off the Morogoro Road.

NIT was established in 1975 as training wing of the then National Transport Corporation (NTC). NIT was charged with the responsibility of strengthening human resource capabilities of transport operatives and middle level managers of subsidiary companies of NTC. These subsidiary companies were: National Bus Services Limited (KAMATA), Usafiri Dar-as-Salaam Limited (UDA), Regional Transport Companies (RETCOs) etc.

In 1982, it was realized that there was need to have an Institute that will cover all modes of transport. The Institute expanded its area of activities and responsibilities. As a result, NIT was re–established through NIT Act No. 24 of 1982 as an autonomous Higher Learning Institution under the then Ministry of Communications and Works.

It came into operation on 1st July, 1983 through the Government Notice No. 91. Currently, the Institute is under the Ministry of Transport. With legal status and the Governing Council was given a mandate to govern and administer the Institute.

National Institute of Transport is the only such training Institute in Sub- Saharan excluding South Africa, mandated by the Government of United Republic of Tanzania to offer training in transport and communications

The Institute is fully accredited with the National Council for Technical Education (NACTE) to provide Competence Based Education and Training (CBET) programmes at the level of Certificate, Diploma and Degree (National Technical Awards -NTA level 4 to level 8).

It is also accredited with the Chartered Institute of Logistics and Transport (CILT International) to teach and examine CILT programmes of International Introductory Certificates, International Certificates, Ordinary Diploma and Advanced Diploma in Logistics and Transport.

In addition to that, the Institute collaborates with the Open University of Tanzania (OUT) and International Purchasing and Supply Chain Management Consult (IPSCMC) to offer MBA in Logistics and Transport Management and Postgraduate Diploma in Procurement and Supply Chain Management respectively.

The Institute offers programmes in Logistics and Transport Management, Freight Clearing and Forwarding, Procurement and Logistics Management, Automobile Engineering, Business Administration, Computing Information Communication Technology, Mechanical Engineering, Aviation Studies and Human Resources Management.

NIT also is offering Post Graduate Diplomas in Air Transport Management, Logistics and Transport Management, Travel and Tourism, Shipping and Port Management, Procurement and Logistics Management, Rail Transport Management, Transport Economics, Road Transport Safety Management and Transport Engineering Management. NIT also offers short term programmes and provides Research, Consultancy and Community Services.

The Institute has highly skilled personnel both academic and administrative staff. It also has modern machines and equipments for teaching, research and consultancy services. The equipments like modern Vehicle Inspection machines which are only at NIT (Tanzania).
Tovuti ya Chuo: http://www.nit.ac.tz/
 
habari za asubui wakuu naitaji kujiunga na chuo cha usafirishaji ila cjui wapi nianzie wenye taarifa kuhusu N I T anisaidie wakuu
 
ungefafanua mkuu kwamba unataka ukajiunge na course gan but kwa kukurahisishia kama upo dsm au maeneo ya karibu fika pale chuoni watakupa maelezo zaid.
 
Wakuu salama ?
Naombeni ushauri wenu juu ya Ubora wa chuo cha NIT kitaaluma hasa katika michepuo ya Biashara kwani nataka kuomba nisome Post Graduate Diploma in Procurement and SUPPLY Chain Management katika chuo hicho.
karibuni wadau mnisaidie kimawazo.
 
wewe piga mitihani ya bodi ya wagavi kaka, kwani huko pia wanafanya Research. Itakujenga kitaaluma na kiuchumi pia mkuu.
Hiyo post piga baada ya kumaliza mitihani ya bodi.
 
Wakuu salama ?
Naombeni ushauri wenu juu ya Ubora wa chuo cha NIT kiitaaluma hasa katika michepuo ya Biashara kwani nataka kuomba nisome Post Graduate Diploma in Procurement and SUPPLY Chain Management katika chuo hicho.
karibuni wadau mnisaidie kimawazo.

NIT moja ya chuo bora kisicho thaminiwa. ...nenda mkuu utafaidika!
 
Jamani naombeni mnitumie account namba ya chuo cha NIT ya benki ya NMB
 
Jamani naombeni mnitumie account namba ya chuo cha NIT ya benki ya NMB
Nyie vijana wa leo sjui elimu mnataka kuipeleka wapi. Haya hizi hapa NIT Economic Project: NMB-20501100008 au CRDB(foreign acc.) 02J109593402
 
ulipata wapi watokeo kama umechaguliwa au uliangalia kwenye airtel yatosha..
 
Mtoa mada mbona NIT hawajatoa majina? Wewe uliyapata wapi? Hebu tujuze nasi tulioomba hapo!
 
itakuwa kwa ile huduma ya airtell maana hata mm niliona kuchaguliwa ktk hicho chuo #prince

bt majina hayajatoka rasmi xo tuvuten subira
 
Nadhani ni "National Institute of Transport" hapo. Mbona hamtoi/hawatoi mafunzo ya waendesha pikipiki?

Maana majanga wanayopata na wanayosababishia wengine ni makubwa....
 
Mbona chuo chenu ni kichafu sana kama magofu? yani kimekaa kama soko vile....
Pia kozi gani hapo inato watu wanaouzika?
 
Back
Top Bottom