Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

Bora kupanga chumba mkaishi hata watu wawili pia mnakuwa huru hata kupika na hata chuo kikifungwa mkawa mnaishi kuliko hostel,kuhusu hostel za nda ni sh 120000 per semester ila inabidi utumie nguvu za ziada.

Uwezekano wa kupata nyumba yenye huduma zote upo, no matter how much it cost.
 
Okey vya ndani vinakua how much per semister

Bora kupanga chumba mkaishi hata watu wawili pia mnakuwa huru hata kupika na hata chuo kikifungwa mkawa mnaishi kuliko hostel,kuhusu hostel za nda ni sh 120000 per semester ila inabidi utumie nguvu za ziada.

120000 per semester.

kiongozi kwani hostels za ndani zimepanda bei maana kwa mwaka wa masomo uliopita na hata kwa hawa level 4 ambao wapo masomoni kwasasa ni 170000 kwa mwaka mzima na sio 120000 kwa semista moja
 
kiongozi kwani hostels za ndani zimepanda bei maana kwa mwaka wa masomo uliopita na hata kwa hawa level 4 ambao wapo masomoni kwasasa ni 170000 kwa mwaka mzima na sio 120000 kwa semista moja

Uliza vizuri utapewa jibu ni per semister
 
Uliza vizuri utapewa jibu ni per semister

kiongozi hostels za ndani ni 170000 kwa mwaka mzima wa masomo na sio 120000 kwa semister... hili nina uhakika nalo kwa 100% fanya utafiti kiongozi

ninaheshimu mchango wako katika kuhakikisha wageni wetu wapya wanapata taarifa ila naomba uwe unatoa sahihi

shukrani
 
kiongozi hostels za ndani ni 170000 kwa mwaka mzima wa masomo na sio 120000 kwa semister... hili nina uhakika nalo kwa 100% fanya utafiti kiongozi

ninaheshimu mchango wako katika kuhakikisha wageni wetu wapya wanapata taarifa ila naomba uwe unatoa sahihi

shukrani

Kwa kuwa kesho nitakwenda chuo tena nitauliza vizuri,cz Nina amini katika kukosolewa ila kile ninachokijua ndio nilikieleza

Asante kwa changamoto zako.
 
Kwa kuwa kesho nitakwenda chuo tena nitauliza vizuri,cz Nina amini katika kukosolewa ila kile ninachokijua ndio nilikieleza

Asante kwa changamoto zako.

tupo pamoja... tukuntane kontena kwa erick
 
majina ya watu tcu wameekewa nit but nit hayapo😕

ni kweli kwenye tovuti ya chuo hayapo ile kwenye mbao za matangazo hapa chuoni wameshabandika... nitawasiliana na wizara ya elimu ya serikali ya wanafunzi(sonit) ili nipate soft copy ya first batch ili niwabandikie hapa jamvini
 
ni kweli kwenye tovuti ya chuo hayapo ile kwenye mbao za matangazo hapa chuoni wameshabandika... nitawasiliana na wizara ya elimu ya serikali ya wanafunzi(sonit) ili nipate soft copy ya first batch ili niwabandikie hapa jamvini

kaka utanisadia kuangalia majina haya abdulla khamis hamad... said suleiman ali
 
Back
Top Bottom