adinag huo utaratibu haupo ulishafutwa kitambo. Kwa sasa wanaoweza kutumia utaratibu huo Ni wale Wa diploma na certificate tu. pia kuhusu ada Kwa degree Ni million 1.5 na dip Ni million 1. Kwa wale wanaolizia hostel za chuo ukifika utaulizia Kwa dean of students then watakupa form za kuomba then ukibahatika fresh ila kama ukikosa pia zipo hostel za mtaani. karibuni sana.