Nimepita leo kariakoo inasikitisha kweli hata pa kupita hamna kila sehemu chinga wamepanga vitu vyao.
Hivi hata kuwapanga chinga hatuwezi. Dar ni hub zaidi ya nchi 8 zinategemea pale hivi tumeshindwa kweli kutengeneza sehemu ya kuvutia iwe soko la kuwavutia wafanya biashara wa nchi zaidi ya nane na soko letu la ndani hadi tunakua na eneo la hovyo lisiloeleweka kama kariakoo.
Hivi sisi tunaweza nini
Hivi hata kuwapanga chinga hatuwezi. Dar ni hub zaidi ya nchi 8 zinategemea pale hivi tumeshindwa kweli kutengeneza sehemu ya kuvutia iwe soko la kuwavutia wafanya biashara wa nchi zaidi ya nane na soko letu la ndani hadi tunakua na eneo la hovyo lisiloeleweka kama kariakoo.
Hivi sisi tunaweza nini