Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

Status
Not open for further replies.
Mi nishampigia kura lowasa ila nilikuwa na haraka sijakumbuka kuilinda nina wasiwasi na magambaz wanaweza kufanya yao khaaa!hadi za utafiti mnaiba.
 
Akaugue tu...cha msingi ccm ing'oke madarakani !!

Wengine Mmekosa Mpaka Wachumba Wa Kuwaoa Kwasababu Ya Tabia Zenu Chafu.Lakini Lawama Zote CCM.Matatizo Mengine Ni Ya Kwako Mwenyewe Acha Kutafuta Mchawi Kibwegebwege!
 
Hao mbwa ccm hawana sera tena zaidi ya matusi na kukopi toka ukawa.
km wanataka ushindi wamwite tena mkapa aje kuwatukana watz
 
Wanajisumbua hao na wengi hapo ni wavuta bangi na wanywa viroba wanaopotisha hilo box

Wavuta bangi na wanywa viroba wana haki sawa popote duniani. Sioni tofauti ya maneno yako haya na maneno ya Magufuli ya kuwataka wananchi masikini wasio na pesa wapige mbizi. Ndani ya CCM kuna matabaka makubwa ya " SISI na WAO na ndio maana kila kutwa mnatoa Kejeli za kutuita Malofa, Wapumbavu, Wanywa Viroba and so on. Huu ni ubaguzi uliojifisha kwa muda mrefu sasa mnaanza kuutoa hadharani na Kuwa dharau Watanzania wenzenu. Ni bora ya ubaguzi wa rangi ndani ya nchi za watu kuliko ubaguzi wa matabaka ndani ya nchi yako. Tutafika Tu.
 
hujajua tu watu wengi sana wanapata bahati ya kuona chopa kwenye mafuriko ya lowasa

NAWASANIIII KWENYE VIJI MAFURIKO VYA MAGUFURI MZEE MWENYE MSHIPA WA MOYO KWENYE KOMWE LAKE JEUS JEUSI ptuuuuuu
 
Nawaona mnavyoufukuza upepo bila kuuona wala kuukamata Lowasa kuingia ikulu kwa kura za wanachi hilo msahahu kwasababu wananchi sasa hv wameamka washajua kwanza fisadi pili mgonjwa

Fisadi? Fafanua.
Mgonjwa wa nini? Au nae anatembea na power bank ya moyo
 
Kkoo Lowassa ... 97%

Magufuli .... 2%

Wapiga KURA 781...

Hii kali sasa...!!!


Hii ni UHAKIKA...!!!
 
Matokeo ya Wafanya biashara kkoo leo yalianza kama utani, wakaweka mabox mawili ya Lowassa na Magufuli... wakisema wazi TWAWEZA HAIAMINIKI, NGOJA NA WAO WAFANYE TAFITI YA WAZI ZAIDI....

Na kumpa kila mpita njia apige maoni yake, watu 781 wamepiga kura... baada ya kuhesabu... haya ndio majibu... lol

1: Lowassa... 766..sawa na 98%


2: Magufuli.... 15..... sawa na 2%

Hakuna kura zilizoharibika... it was live..!!

Aiseeeee, hii tafiti iko wazi, na ya kweli KULIKO YA TWAWEZA...

Yaani... hii kali..!!!
 
Matokeo ya Wafanya biashara kkoo leo yalianza kama utani, wakaweka mabox mawili ya Lowassa na Magufuli... wakisema wazi TWAWEZA HAIAMINIKI, NGOJA NA WAO WAFANYE TAFITI YA WAZI ZAIDI....

Na kumpa kila mpita njia apige maoni yake, watu 781 wamepiga kura... baada ya kuhesabu... haya ndio majibu... lol

1: Lowassa... 766..sawa na 98%


2: Magufuli.... 15..... sawa na 2%

Hakuna kura zilizoharibika... it was live..!!

Aiseeeee, hii tafiti iko wazi, na ya kweli KULIKO YA TWAWEZA...

Yaani... hii kali..!!!

chama cha twashindwa ccm hali tete
 
Mm ninawasiwasi na utafiti wa hawa jamaa wa twaweza kwa sababu zifuatazo;
1) kuna mapungufungufu kama a:wanasema Cuf ,nccr wanapewa asilimia wakati hakuna mgombea urahisi
2:jumla ya asilimia ziko 102%
3: hatukuambia methodogy ipi imetumika
4: sample size
5:caputured area
6;Age,genda,
7:conclusion
 


Yaani, sikuamini... kweli MACHINGA na MAMA ntilie, Boda boda, na wapita njia wengiii au karibu wote ni Lowassa tu...

Naona watu wanataka mabadiliko aisee..!!

Daah.. hii TAFITI nimeikubali...!!! Watu walikuwa wanalinda utafikiri ni live vote
 
Last edited by a moderator:
matokeo ya wafanya biashara kkoo leo yalianza kama utani, wakaweka mabox mawili ya lowassa na magufuli... Wakisema wazi twaweza haiaminiki, ngoja na wao wafanye tafiti ya wazi zaidi....

Na kumpa kila mpita njia apige maoni yake, watu 781 wamepiga kura... Baada ya kuhesabu... Haya ndio majibu... Lol

1: Lowassa... 766..sawa na 98%


2: Magufuli.... 15..... Sawa na 2%

hakuna kura zilizoharibika... It was live..!!

Aiseeeee, hii tafiti iko wazi, na ya kweli kuliko ya twaweza...

Yaani... Hii kali..!!!
utahaha na kuangahika sana .... Mara utafiti kwenye mtandao...mara utafiti kwa wauza nyanya... Mara tafiti wa wauza supu ya makongoro....... Tafiti hufanywa kwa sampuli halisi zinazowakilisha watanzania.... Pole sana!! Fungua azam tv usikie kilio cha cuf!!!1
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom