Mpangamji
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 540
- 141
Mkuu hii picha ya Mbagala
Mapepo at work!Ndugu yangu Ritz inaonekana huko mbali sana na mitaa hiyo.Waambie hao jamaa kama wameamua kuchoma moto makanisa kwa kitendo cha kuukojolea msahafu na ile filamu ya kumtusi Mtume basi wachome makanisa ya kiyahudi yanayoitwa Sabato.Hawa jamaa ni wachokozi sana.Tangu kuingia haya makanisa imekuwa tabu.Na kama ni kwa suala la kufanyiwa dhulma ndani ya Tanzania kwa kuwekewa vikwazo vya elimu na ajira basi waanze na yale ya wakatoliki.
Nipo magomeni polisi wanapiga mabomu ovyo..
Msimbazi na kidongo chekundu ni mapambano askari mmoja naona anavuja damu.
Ww upo kila kona.... hiii
Polisi wameweka kambi hapa magomeni kwenye kwenye kituo cha mafuta Gapco kuna magari ya polisi kumi na gari ya maji ya kuwasha.
Habari ni kuwa hapa maeneo ya makumbusho waandishi wa blog yangu wamepishana na malori ya wanajeshi JWTZ wanaoelekea kwenye jumba jeupe kudhibiti kundi la waislam wanaotaka kwenda ikulu.Maeneo ya posta kuelekea mambo ya ndani napo kimenuka ni moshi wa mabomu.kariakoo maeneo ya kongo mpaka karibu na msiki wao kimenuka.Makumbusho napo kimenuka ma sheikh kadhaa na wafuasi wao wametiwa nguvuni hali si shwari jijini dar.Picha baadae jamani.
Nipo magomeni polisi wanapiga mabomu ovyo..
takbiir
Nimetoka Kariakoo saizi nipo Magomeni mkuu.
niko huku kinondoni magari 4 ya jwtz yakiwa na wanajeshi full na silaha yamepita yanaenda town