My yaani bado atumie simu ile ile ambayo in kithibitisho naomba Mona na bado atumie njia ile ile ya kutuma ujumbe yaani SMS ilhali anajua Kuwa zinahifadhika!!! Zinaacha traces.... Kwa nini asimpigie simu na kuongea nae?
Kumbe hata huku nako hufikirii ! Huku hakuna kukariri ! ...labda kunamtu ame-swap line ya alhaj au alhaj amechanganyikiwa na kutuma ovyo au anatuma tu kwa makusudi ya kuvuruga upepo , kama wewe unavofikiri sasa.
Sasa hizo ni chumvi za waandishi holela wa mtaani. Mmh!
HATA MIE NIMESTUKIA,acha nimuwahi shemeji yenu kabla mtoto hajaamka.Sasa naamini Kapuya anaonewa!!!!
My yaani bado atumie simu ile ile ambayo in kithibitisho naomba Mona na bado atumie njia ile ile ya kutuma ujumbe yaani SMS ilhali anajua Kuwa zinahifadhika!!! Zinaacha traces.... Kwa nini asimpigie simu na kuongea nae?
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!
Kapuya anaweza akaandika upuuzi kama huu?Tanzania Daima acheni kutumiwa na Six
umeonaaa eeh...hata kama kuna ukweli hizi sasa chumvi.....yaani Prof afikie hivi?
Siko upande wowote hapa maana sijui nin cha kuamini,ila kwa hapa naanza kuhisi kuna mchezo mchafu...
Inawezekana ndio Kapuya alifanya vile,lakini baada ya kuvuja katika mitandao sidhan kama andeweza tena kumtumia sms kama hizo huyo binti na kama kweli kafanya ivo basi elimu yake haijamsaidia