Kapuya; Nihurumieni jamani

Kapuya; Nihurumieni jamani

Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!

saa sita imeshapita kagoma kuchukua hela? mbona povu?
 
Kwa nini hao Tanzania Daima hawamsaidii huyo wanayedai kabakwa aende mahakamani?
Nyani Ngabu, I beg to differ. I only wish you knew...or may be you know, huu utetezi wako kwa huyu mtuhumiwa hakika si wa kawaida. Kuna mchezo unachezwa hivi sasa wa kitoto kabisa; kwa mfano text zinazoendelea kutumwa kwa kutumia namba ya simu inayojulikana wazi ni ya Kapuya kujaribu kuwaaminisha watu kuwa labda Professor anaonewa. It is all a red herring kama ilivyo video ya kipuuzi iliyoletwa humu eti ya binti anayedaiwa kubakwa...bahati nzuri gazeti la Tanzania Daima didn't fall for that, wao wanaripoti walicho na uhakika nacho.

Kwa point yako ya huyo binti kwenda mahakamani pia I beg to differ...ni wazi kuwa jitihada kubwa zimefanyika kujaribu kuzima huu moto ukiwashirikisha watu wazito. Sehemu pekee iliyobaki ni mahakama ya Umma na hapa ilipofikia ndipo pahala pake...kama yupo anayedai kachafuliwa na haridhiki na hukumu inayotolewa na Umma, njia nyeupeee, akate rufaa mahakamani. Mimi sina huruma na wabakaji kwa sababu mimi ni mzazi na kwa tamko la Tanzania Daima leo kuwa haliombi radhi, namshauri Professor asisubiri, afungue kesi haraka.
 
kama kweli maneno ya hiyo sms ni ya kapuya nina
pata taabu kujua kama ni profesa wa ukweli ama laa!!!!!!!!!! lakini pia naanza kuhisi kitu hapa je, haiwezekani kuwa hiyo namba imesajiliwa kwa jina la kapuya lakini mtumiaji sio yeye?!! ama wakati akimuamini huyo binti alimuachia simu yake ikiwa imesajiliwa!!!!!!!!! ama imesajiliwa tu kwa jina la kapuya!!!!
 
changudoa anabakwa???

*FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* SINCE 2011 ALWAYS THE TRUTH AND THE TRUTH ONLY!

FLORA+LYIMO+PICHA+ZOTE+ZA+WEEK+8+HOW+TO+LOOK+SEXY+AT+HOME+135.JPG


Lema alivyobaka uk naye ni mwanaccm kumbe.
 
Hii issue sasa imeanza kuchosha. Hakuna kinachoeleweka.....Itaishia tuu jujuu kama skendo zoote zilizopita.
 
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!

Yy mwenyewe mavimavi, tabia zake mavimavi, atashindwa kuandika umavimavi?
 
Nyani Ngabu, I beg to differ. I only wish you knew...or may be you know, huu utetezi wako kwa huyu mtuhumiwa hakika si wa kawaida.

Kwanza hakuna popote pale nilipomtetea huyo bwana. Kama papo, naomba nionyeshe. Lakini, na wewe huu ushadadiaji wako wa hiyo habari ya Tanzania Daima si wa kawaida. Sijui hata kama unaliona hilo.

Kuna mchezo unachezwa hivi sasa wa kitoto kabisa;

Nani anaucheza? Wewe, Tanzania Daima na Machadema wenzio humu?

kwa mfano text zinazoendelea kutumwa kwa kutumia namba ya simu inayojulikana wazi ni ya Kapuya kujaribu kuwaaminisha watu kuwa labda Professor anaonewa.

Hizo texts wewe umeziona kwa macho yako au umeona tu machapisho yake humu JF? Na una uhakika gani kama kweli zimetoka kwa Kapuya? Ulimwona wakati anaziandika na kuzituma?

It is all a red herring kama ilivyo video ya kipuuzi iliyoletwa humu eti ya binti anayedaiwa kubakwa...bahati nzuri gazeti la Tanzania Daima didn't fall for that, wao wanaripoti walicho na uhakika nacho.

Kwa hiyo wewe umeamua kuliamini Tanzania Daima moja kwa moja bila hata kuhoji chochote? Kaazi kweli kweli.

Kwa point yako ya huyo binti kwenda mahakamani pia I beg to differ...

Fine. Na aendelee tu kwenda Tanzania Daima.

ni wazi kuwa jitihada kubwa zimefanyika kujaribu kuzima huu moto ukiwashirikisha watu wazito.

Lete ithibati ya hilo.

Sehemu pekee iliyobaki ni mahakama ya Umma na hapa ilipofikia ndipo pahala pake...

Unaona sasa....hapa ndo agenda nyingine inapovuliwa nguo. Kwa hiyo nyie mnataka tu kumsulubu Kapuya kwa kumtumia huyo mdada ambaye hata hamumjui ili mjishindie vijipointi vya kisiasa? Mnasikitisha.

kama yupo anayedai kachafuliwa na haridhiki na hukumu inayotolewa na Umma, njia nyeupeee, akate rufaa mahakamani.

Na kama kuna anayedai kubakwa na Kapuya na aende mahakamani. Zaidi ya hapo ni makelele ambayo yataisha na upepo tu ambao utapita.

Mimi sina huruma na wabakaji kwa sababu mimi ni mzazi na kwa tamko la Tanzania Daima leo kuwa haliombi radhi, namshauri Professor asisubiri, afungue kesi haraka.

Hata mimi nawachukia kabisa wabakaji. They are worse than the scum of the earth.

Hivyo mimi nawashauri wewe na Machadema wenzio mumsaidie huyo anayedaiwa kubakwa kwenda mahakamani ili haki iweze kutendeka.
 
Nani anaucheza? Wewe, Tanzania Daima na Machadema wenzio humu?...
Hivyo mimi nawashauri wewe na Machadema wenzio mumsaidie huyo anayedaiwa kubakwa kwenda mahakamani ili haki iweze kutendeka.


th


Nyani Ngabu, one, FYI naichukia CCM na naunga mkono jitihada za Chadema lakini si mwanaChadema. Two, when the acid is too concentrated to handle, dilute it, that's what! Fortunately there is plenty of water all around us, that's the game, got it?
 
th


Nyani Ngabu, one, FYI naichukia CCM na naunga mkono jitihada za Chadema lakini si mwanaChadema. Two, when the acid is too concentrated to handle, dilute it, that's what! Fortunately there is plenty of water all around us, that's the game, got it?

Bana eeh, acha viroja. Jibu hoja.

Unaleta mafumbo kwani tupo kwenye rusha roho hapa!
 
Hivi kapuya anaweza kutumia neno KUSEPA...... Hebu watu wazima tusaidieni hapo... Ilikiwa unaumri sawa na Kapuya au unakaribiana... Unakabiliwa na tatizo tajwa hapa jamvini... Unaweza kutumia neno kusepa??


Sio kutumia neno hilo tu, haiyumkiniki mtu mzima aliye kuwa waziri atishie kuua kwenye text messaging system.
Wanaompaka mavi Kapuya sasa wataumbuka wao.
Namba imekuwa "cloned" kitu cha rahisi sana kufanya.
 
hawezi kusamehewa kwa makosa hayo ,,na kwakuwa kakili ndio kaharibu kabisa atafungwa mbaya huyu,,itabidi akafungwa ili babu seya atoke ,maana makosa yanafanana,wote wabakaji,kapizo the massive haha
 
Hivi baada ya hili sakata kuwa gumzo la jiji bado anaweza kuendelea kujidhalilisha na sms za kipuuzi? Nadhani kuna mtu anatumia simu yake. Msomi kama yeye kweli!! Kama ndivyo basi usomi wake hauna maana kabisa! Bora angekuwa mhuni tu wa mtaani!!!
Prof J. kapuya amejitokeza tena kwa staili ya tofauti ikiwamo kumpigia simu mshtaki wake akiomba wayamalize kiaina.

Akitumia no ilele 0784993039 ambayo awali aliikana, juzi jumamosi alimpigia mshtaki wake na kumwomba wakutane ofisini kwa DPP na aseme kuwa hana haja na kesi.

ujumbe uliotumwa ulisomeka hivi, "Najua kesi ni watu wawili, sasa kwa nini hamkubali? hivi hela nitakayompa akuue si bora nikupe uanze maisha? wakili nimempa hela nyingi, magazeti pia, unaweza kukanusha taarifa hii na kufuta ushahidi halafu mm nikupe hela uende popote, bungeni sifiki na nitafukuzwa nyie mtapata nini? nakupa masaa mpaka saa sita nitakuwa nimeshatuma hela, unachukua paspoti unasepa hakuna kurudi, ukikaidi roho itakwenda kupumzika, unataka kufa kibudu? jiangalie....."


Source; Tanzania Daima Nov 20 13
 
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!
Honestly, watu waache matani!This baba cant write such sms jamani kha!Kwa hali ilivyo sasa Kapuya hawezi kuandika sms kama hiyo. Naanza kuamini huenda hii kitu yoote imepikwa tu!
 
Naanza kupata picha kuwa si kapuya anayetuma msg hizo, hyo namba may be imekuwa hawkerd
 
kwa hali halisi ilivo kwa sasa,mtu mwenye akili timam na uelewa wa kufikiri kwa kina atagundua kuna mchezo hapa.hakuna sms ya kapuya wala nn hapo I.T imetumika kufanya namba ionekane n ya kapuya .nawapa siku 6ukwel utajulikana na mtaona nn kinaendelea na nani ni wahusika wa kumchafua huyu babu.

ni kwel kabisa kwamba alikimega kila kidada poli,lakin hii sms ina iliootoka


Kuna harufu ya ukweli hapa !
sms hazina haiba wala intonation kwamba zinatoka kwa Le Professeri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom