Kapuya; Nihurumieni jamani

Kapuya; Nihurumieni jamani

Sasa naamini Kapuya anaonewa!!!!
Kwa mwendelezo huu hata mimi naanza kuhisi kuwa kuna mtu ambaye anamfix Kapuya. Sidhani kama Kapuya ni -------- kiasi cha kufanya hivi baada ya yote yaliyoandikwa
 
Kaogonjwa hako sio kazuri, lazima kaharibu akili

Ha haaa kanasababisha kitu inaitwa severe mental retardation..

Hii itakuwa imeishampata huyu mzee na sasa hajitambui kabisa. Chezea laana ya kubaka mtoto. Pia asubiri hasira za mama yetu Mama Salma Kikwete kwa kulitumia jina lake kwenye utetezi.
 
CCM kaeni mlimalize hili kijutu uzima. sasa naona ameingizwa Six, EL na Rage. likiachiwa litafika mbali halafu mkajuta 2015. waloingizwa wote ni wabunge. sasa ataingizwa waziri mwandamizi. yangu macho
 
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!

Mbona hata hapa umeandika kitoto kuliko hata Kapuya. Kakuzidi sana huyu mbakaji.
 
Sasa naanza kuamini Prof anasingiziwa. kuna mtu anatumia hiyo sim card kumchafua. Lugha gani hiyo ya kihuni hivyo atumie mzee mzima! :frusty:

yaweza pia kuwa mkakati wa kupoteza ushahidi kuwa ni yeye anatuma hizo sms (lugha ya mtaani) wakati ujumbe ukifika kwa mlengwa, hivi kama ni kweli kuna mtu anatumia hiyo namba kwa nini hajakamatwa mpaka sasa? wapi tcra?
 
Kama kweli huyu Kapuya anaendelea kutumia simu na line yake kuwasiliana na huyu binti basi atakuwa insane!!! hivi hana washauri na marafiki wazuri? Simu ni identification mbaya sana!!! Au kuna watu wana hack simu yake kwa muda? Na mtandao utakuwa unahusika kwa hili kama kweli simu inakuwa hacked!!! Ila kwa ushaumri mdogo tu Kapuya avunje rasmi mawasiliano ya moja kwa moja na binti!!! Atumie marafiki au wandani wake waende kuongea na binti ili wayamalize!!! Kama kweli ni siasa, basi ndiyo maana nilishakataa kuwa mwanasiasa wa majukwaani!!! Siasa zangu zibaki ndani ya keyboard tuuu.
 
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!

Wewe ndo unatakiwa ufute huu upumbavu. Kapuya anakulipa sh.ngapi?
 
Kb52 Matusi hapa si mahala pake, halafu andika kinachoeleweka, bana bana bana ndiyo nini? vilevile source nimeweka pale inaonyesha hujasoma thread la sivyo ungeomba ilifungie gazeti tajwa na mimi kupigwa ban

Hebie utawaweza hao wenye dv 5?
 
Huyu Kapuya atakuwa mjinga kiasi gani kutuma ujumbe kama huu baada ya yote haya?
 
Kutakuwa na watu wana- hack hiyo namba ya simu. Siamini Mzee na msomi wa kiwango cha Kapuya aandike ujumbe wa kijinga namna ile, even me kuna mtu alikuwa anaingia kwenye simu yangu mpk nikaamua kuiacha namba hiyo. Kama ni kweli atakuwa amerukwa na akili kama siyo hao watu wanao hack si waungwana. Siasa za kibongo za kupelekeana picha chafu kutukanana kuaibishana, dalili tosha kabisa hakuna uadilifu kwenye taifa. Utaifa uzalendo hakuna. Huenda kwakuwa taifa halina sera ujamaa na kujitegemea umekufa, tuna fundisha na kulea watoto ili wakamilishe nini ktk taifa lao hakuna. Vyama havina lengo la kukamilisha kama taifa. Twafaaa usanii sijui ndy sera, wizi na ubadhilifu sijui ndy lengo, wabongo wote wamekuwa wajinga wapumbavu wasio na lengo la kukazania kutimiza kitaifa jf ndy usiombe matusi kejeli na ufala majarida yote. Wenzetu wengine katika nchi zingine wana marengo siajabu kabisa ccm kuwa na akina kapuya wengi
 
sasa naanza kuona hii ni kama tamthilia.
upumba.vu mtupu. kapuya hana akili ndogo kiasi icho ya kuendelea kutuma msg kupitia hiyo namba wakati anajua msg zitasomwa.
huu ni usanii.
 

Kapuya kama kweli unaoutu Watanzania wanao utu zaidi wapo tayari kukusamehe na mambo yakaendelea kama kawaida.
Ushauri wangu ni huu, itisha mkutano na vyombo vya habari pale Habari na Maelezo, usijitetee bali omba msamaha kwamba kweli ulikiuka MAADILI YA UONGOZI hivyo ungependa WATANZANIA WAKUSAMEHE. Huwezi amini utasamehewa hapo hapo, hakuna atakaye kuwa na dharau kwako kuanzia pale MAELEZO.
Believe me!
[/QUOT

Na pia pande zote ziwepo, binti na yeye. Mpaka Sasa jamii haijui imwelewe yupi

Mtu mzima kama Kapuya hawezi kufanya ujinga wa kuandika sms hizo. Anaufahamu wa kutosha ni msomi, ngoja kwanza anyamaze mpk chanzo cha hao wanaoingia kwenye namba yake wagundulike nawewe usie jua lolote upate ufahamu. Huwezi kumtukana mtu kwa njia ya mtandao usitiwe hatiani kwa sababu ni ushahidi yeye Kapuya halijui. Ina maana kwa mawazo yako Mh. Lema picha zile niza kweli. Kuna picha ya Rais na Mtoto wa Mkulima ilitangazwa sana macheckbob ilikuwa kweli aombe msamaha kama si kweli aombe vp chukua hatua badilika
 
Acheni kumlisha kapuya maneno yupo zake jimbon anakagua miradi ya maendeleo..nyie kna sta keshen jf kwa akili zako ata mtoto mchanga hawez andka huo upuuz
 
Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.
 
Namba za mbunge yeyote si siri zpo kwenye webste ya bunge mstumie namba ya kapuya kumchafua
 
ha ha ha...shukrani bana, watakuwa wamekusoma bana.... leo nilikuwa sijacheka bana.....ati pretenda wakubwa....haya bana
Prof.Jay hawezi kuandika meseji ya kimavimavi ivo bana. Lugha gani asa hiyo....kama mtoto wa mlugo kabisa!...acheni kumharibia bana. Hata mi siwez kuandika ivo......kitoto kabisa!!!.....acheni mambo yenu bana!..JF wampige ban aliyeweka thread hii....la sivyo kuanzia leo najitoa jf. Kueni na utu bana......acheni upuuzi bana......kapuya imekua kapuya.....acheni upuuzi bana.....pretenda wakubwa!...acheni ushenzi bana.....wazandiki wakubwa....karakabaho...stakafulula.....shwaini....nyambafu kabisa!...futeni ujinga wenu bana...tumechoka kusikia habari za kapuya sie!...acheni ukuda bana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom