Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,304
Story ya Komba ni kua alikwenda jeshini kujifunza ukakamavu, lakini uzalendo ulipomshinda akaingia kwenye kuimba na kukisifia chama cha Tanu enzi ile ambayo ikaja kua CCM hana ukakamavu wowote na hata kupiga KWATA hawezi hii nimeipata kutoka kwa aliyekua mkuu wake!