kyannala nabiso
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 645
- 143
yani komba nae anazungumzia uzalendo? kwani haoni matendo wanayo yafanya ccm? wanauwa watu wanateka watu wanatoboa macho wanawanyang'anya watu viwanja vyao, watu wakiona ufisadi unatendeka mbele ya macho yao wasiseme wanaweka roho zao rehani na huo ndio uzalendo? kabeba tumbo tu na mwili ila kichwani nothing.