Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Kama uzalendo ni kutembea na watoto wadogo basi anao sana,
kuna siku polisi mabati walikamata machangudoa pale mtaani katika hao alikwepo kabinti flani kadogo halafu kalikua kachafu kwa muonekano kuliko wengine,
Asubuhi wakati ndugu na jamaa wamekuja kuwatoa ndugu zao hako kabinti akaulizwa na ww ndugu zako wako wapi, akasema nimeshampigia simu baby wangu anakuja kunitoa, hamadi baada ya kama dakika 15 akifika mzee wa TOT akajakumtoa akaondoka naye kwenye gari.....
 
Kama uzalendo ni kutembea na watoto wadogo basi anao sana,
kuna siku polisi mabatini walikamata machangudoa mtaani katika hao alikwepo kabinti flani kadogo halafu kalikua kachafu kwa muonekano kuliko wengine,
Asubuhi wakati ndugu na jamaa wamekuja kuwatoa ndugu zao(machangudoa)hako kabinti akaulizwa na ww ndugu zako wako wapi, akasema nimeshampigia simu baby wangu anakuja kunitoa, hamadi baada ya kama dakika 15 akifika mzee wa TOT akajakumtoa akaondoka naye kwenye gari.....
 
Tundu Lisu alishaenda jeshini na huko ndiko alikojifunza ujasiri wa kutoogopa chochote ...
 
namshauri akapumzike aachane na siasa za kale na uccm wake, duh kashtuka usingizini na kukuta watz si wale waenzi hizoo
 
Hata wewe inabidi uende jeshini ili uachane na "Buku 7 kwanza"
 
297146_2385598368042_1104571727_n.jpg

Ana tani ngapi huyu Komba mpaka kapanga viti vitatu. Wameshiba sasa hawataki kuondoka mezani ndio maana wanaongea utumbo huu. Wangejua kuwa kauri zao zinawachimbia kaburi wasingelifanya wayafanyayo kuendelea kuimba na kucheza nyimbo za mafisadi.
 
hivi uzalendo unafundishwa eeh????hawa mafisadi wa kileo hawakupitia JKT enzi za mwalimu??????mbona hatuoni huo uzalendo wanao uzungumzia ktk matendo yao?????????????
Tujiulize Lowasa, Kikwete, Kinana, Shimbo hawakupita jeshini hata kidogo...
 
Tundu LISSU alishapitia JKT mwaka 1989-1990 "Operation Kambarage" na miaka ile huingii UDSM bila kupitia jeshi......Sasa sijui KOMBA (Bushbaby kizungu) anataka TL aende jeshi lipi tena?

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]University of Warwick, UK[/TD]
[TD="align: center"]LLM[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]1996[/TD]
[TD="align: center"]MASTERS DEGREE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar Es Salaam[/TD]
[TD="align: center"]LLB[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]GRADUATE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Galanos Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]A-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]HIGH SCHOOL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ilboru Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY SCHOOL[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mahambe Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY SCHOOL[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kweli ukistaajabu ga musa utayaona ya filauni. Kwake milo miwili shida mwambao woote wa ziwa nyasa njaa tupu maisha magumu yeye analala tu bungeni ukiamka akuja na hoja za kijinga kuataki individuals huko Lituhi hakuna lolote la maana kajenga nyumba hakai akija hata siku mbili hamalizi leo anatangaza harambee si awaombe pesa walioanzisha hiyo wilaya huu jamaa wa ajabu sana. Subili watu walivyobadilika watakuja chadema wakunyooshe
 
Mh.komba amemtuhumu lissu kua anafujo kwa sababu hajaenda jeshi kunyoshwa na spika akakazia tena miaka miwili ili wauze sura vizuri kwenye magazeti ndo wanambinga mlichomtuma mbunge wenu huyo komba asiyetaka nyie msipate habari n kukashifu wenzake?
mbinga hawana mbunge, bali wana walanguzi wanaojali matumbo yao kama huyu mh. Komba. Komba yeye ni kusinzia na kutembea na vitoto vya shule.
 
Ttatizo ccm wenzangu mnatumia lmg kuua swala. Haya mnazuia bajeti isisomwe mbona basi tena ilishatoka yote jana hiyohio?
 
Afadhali hata tumejua ameamka...maana yeye muda wote ni usiku na wafaa kwa kulala.
 
Ndo alichoota baada ya usingizi bungeni.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1369148615679.jpg
    uploadfromtaptalk1369148615679.jpg
    22.1 KB · Views: 80
Ana tani ngapi huyu Komba mpaka kapanga viti vitatu. Wameshiba sasa hawataki kuondoka mezani ndio maana wanaongea utumbo huu. Wangejua kuwa kauri zao zinawachimbia kaburi wasingelifanya wayafanyayo kuendelea kuimba na kucheza nyimbo za mafisadi.

Anazo kilo kama mia mbili maana tumbo kubwa vimikono utafikiri vimebandikwa.
Huyu Komba ndiye yuleyule aliyemponza LULU kwenye sakata la KANUMBA R.I.P, anakaa kiti cha mwisho ili apate muda wa kulala usingizi na kukoroma. Leo kakurupuka na kupayuka.
 
Komba unastahili sifa kwa kuwa mkweli

Lisu alikwenda JKT alipomaliza form 6; Kutoongelea Serikali pia sio Uzalendo.... Wengi ndani ya BUNGE ni Mafisadi na hawajui JKT ikoje... Walisaidiwa kwa kuvunjwa kwa JKT Komba tu alikuwa JWTZ kama Mwimbaji na sio sababu ya ELIMU ili ashibishe hilo TUMBO
 
komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. Akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.

Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.

Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.


hahahahahaha mzee komba....nawe uende university of dar es salaam ukajifunze sheria!!!!!
 
Back
Top Bottom