Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Komba unastahili sifa kwa kuwa mkweli
images


N kushika masaburi ya maCCM
 
komba na yeye ndio wa kumsema mh.Lissu.?
 
Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.

Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.

Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.
Teh tehteh,heti wanauza sura!,HIVI KOMBA AU WASIRA NAO WANAWEZA KUUZA SURA? Teh teh
 
Ningekuwa dk wa komba ninge muandika fomul ya kula asubui maji ya moto mchana desh jion kipande cha muogo,mh, lissu yupo sawa wanataka wafanye makosa anyamaze ndyo maana cdm wanapo ona pesa znaibiwa tembo na rasilimal zetu wamekuwa mali ya mtu mmoja wanasema ukwel na ukwel una uma,na nukuu farisafa ya mh lema Dhambi kubwa na mbaya ni uoga,na uoga huo unatokana nakujua ukwel af hausemi kisa unaogopa,cdm ni jembe.

hata mimi ningekuwa daktari wake ningempa formula ifuatayo.
1. Asubuh. chachandu ya muhogo kavu ya bila chumvi
2. Mchana maji ya madafu
3 ucku wakati akicheki movie za lulu anatakiwa ale supu ya pweza isiyo na pilipili wala chumvi
 
Tatizo la huyu bwana ni akili ndogo alionayo. Kawaibia hela watu wa Malawi alipoitwa na Rais wa wakati huo kipindi cha kampeni Bakili Muluzi alizunguka Malawi nzima na Tot yake karudi na mahela hadi kajenga shule kwa jina la Muluzi.Mnafiki huyu hata sisi watu wa Nyasa hatupendi japo kahusika kuanda fundraising kwa ajili ya wilaya yetu.
 
Kwa nini asimshauri LULU aende shule kwanza kuliko kumuharibu?

images

Sio ajabu kwamba hawa akina Kapten komba ndio wazalendo wanaozalishwa na vituo vyetu vya mafunzo ya kijeshi.

Tena sio ajabu kwa Tanzania yetu mwimba taarabu tu aliyeibukia kwa ukuwadi ndani ya ccm kumshauri msomi na
mzalendo mkaini kama lisu na ushauri wake ukaonekana una make sense kwa baadhi yetu.
 
Mwalimu,kapten,Mh,John Komba.Kwa majina yote hayo ulipaswa ufahamu kuwa hata wewe ikitokea uko nje ya chama tawala utaitwa majina hayo (Mchochezi,Mdini,Mkabila n.k)pindi utakapokuwa unasema ukweli ili sheria na kanuni za nchi zifuatwe!Kwa tabia ya ubinafsi uko sahihi kabisa,ukiwaacha kina Lissu na wenzake wafanikiwe kuwarekebishia wa Tanzania hali yao ya maisha duni SIHA uliyonayo itapotea,kaza uzi mjomba!Nakusihi ukumbuke walikuwepo kina ID Amini,Mabutu,Sadam Husein na wengineo pia hawakutaka/waligoma kuamini kuwa SIKU moja MWISHO WAO WAKUTAWALA UTAFIKA.Endeleaaa!
 
Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.

Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.

Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.

Huyu si ndie kinara wa kulala bungeni! Ana uzalendo gani? Hata tuhuma za kutembea na Lul wa Kanumba anazo ana uzalendo gani? Lkn pia hana akili tu Lissu alienda JKT!
 
Deo Fulikunjombe,najua huwa unaingia JF na kusoma yaliyoko humu. Please nenda na Ipad yako kwa Komba mpe asome thread hii ajitambue kwa kusoma anavyojadiliwa. Itakuwa msaada sana kwa chama chenu maana kwa kweli sasa wabunge wenu wengi wanawatia aibu sana.
 
Back
Top Bottom