Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

Kapteni Komba: Tundu Lissu aende Jeshini

uzalendo haupatikani jeshini, kwani hao waliokula hela za EPA, rada, Richmond na mafisadi wengine hawakwenda jeshini? uzalendo ni zaidi ya jeshini, mfumo ndio unaweza kuwafanya watu wawe wazalendo especially pale rasilimali zikigawanywa sawa, kuwe na utawala wa sheria n.k
sasa sijui yeye anavyolala tu bungeni na kuchukua posho za kwenda kutumia na watoto wadogo km kina LUlu ni uzalendo?
 
Huyu mcheza sindimba vipi?? Anajua kweli maana ya uzalendo? Hembu atutajie basi hao "wazalendo" waliokwenda jeshini.

I suggest he should focus on what he does best, Kukata m a u n o.

Anna_Lupembe.JPG


wabunge.jpg
 
Komba yeye kaenda jeshi na ni mzalendo kwa kusinzia bungeni na kukoroma!!!!mzalendo kwa kusambaza ngoma kwa watoto wadogo tena bila huruma...
komba unastahili sifa kwa kuwa mkweli
 
Kama uzalendo ndio anaosema Komba basi mimi sitakuwa Mzalendo hadi naiacha Tz yangu.
 
MI NASHANGAA MAAJABU YA MUNGU KWA NINI LULU ALIMSUKUMA YULE BW MD kANUMBA...C ANGELISUKUMA HILI LIKIBIKO LIFIE MBALI!!!MAANA KAZI KUSINZIA NA KUMBUKIZA WATOTO WADOGO NGOMA NA KUFANYA GROUP SEX NA KUWALA KABANG MABINT WAWATU TENA DRY NA KY JELLY YAKE ALIYOIWEKA PALE DIRISHANI KWENYE ILE LODGE PALE SINZA...AN UZALENDO GANI HUYU AU MPAKA TUWEKE PICHA ZAKE HUMU!?
 
Komba ni moja ya wabunge walioupata ubunge kwa kurubuni wananchi kule mbinga magharibi, yeye kutoa rushwa ni kawaida, pia ni miongoni mwa wabunge wanaopenda kufanya ngono na wanafunzi! Kiujumla hana la maana analofanya kwa watu wa mbinga!
 
Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi.

Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.

Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.
...kalalamika fujo za Lissu zinammalizia usingizi wake bungeni maana anakuwa anashtukashtuka.
 
Hivi sheria inasemaje kuhusu kutembea na msichana under 18?! Au sheria hii haiapply kwa vigogo.
Mkuu, CDM ikichukua dola 2015, itaanza kufanya kazi,
MaCCM kwa sasa hakuna nidhamu ya kazi,yanabebana
Ona anavyomharibia huyo mtoto future!!!
images
 
Komba nenda kaimbe TOT na ukate viuno na mwimbaji mwenzio Khadija Kopa
 
Hivi Komba naye huwa anaruhusiwa kuongea bungeni?...mi nilijua kazi yake kubwa ni kutoa tumbuizo kwa walionuna
 
Komba ameshauri wabunge wanaochochea vurugu hapa nchini waende jeshini wakajifunze uzalendo waache kuhubiri siasa za ubaguzi. akatolea mfano wa mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni tundu lissu ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika mgogoro na bunge kwa kusababisha vurugu na kutoweka kwa amani katika chombo hicho cha kutungia sheria za nchi. Akaenda mbali na kusema kuna wabunge wanapenda kuuza sura na ndio wanahabari wanawapenda sana kuuzia habari zao.Amevikemea vyombo vya habari kwa kuwa chanzo cha kukosekana kwa amani ya nchi kwa kuandika habari za udaku na vurugu na badala ya kuandika habari za maendeleo.
Nani kasema uzalendo unapatikana jeshini? tumeona walioenda naambao wako huko jeshini ndio wanaongoza kwa ufisadi.meremeta iko jeshini.wanopigiwa kelele kwa ufisadi wote walienda jeshini/JKT na wengine mpaka leo wanavyeo jeshini.Jeshini/JKT ni kwa ajili ya Utii na ukakamavu na sio uzalendo.kipindi cha kambarage watu walikuwa wazalendo na sio wote walienda jeshini/JKT.kwa hiyo komba hajui analolisema ni mbinu ya kuficha ukweli, kanuni za bunge zinawapiga chenga yeye na mama yao ndio maana wanalalamika .
 
Mh.komba amemtuhumu lissu kua anafujo kwa sababu hajaenda jeshi kunyoshwa na spika akakazia tena miaka miwili ili wauze sura vizuri kwenye magazeti ndo wanambinga mlichomtuma mbunge wenu huyo komba asiyetaka nyie msipate habari n kukashifu wenzake?
By nkongo.Tatizo sio Lissu tatizo ni kutosoma kanuni za bunge,mnapoelekezwa hamtaki,mtapata shida sana na mtalalamika sana juu ya hili jembe
 
Back
Top Bottom