JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Kwa nini asimshauri LULU aende shule kwanza kuliko kumuharibu?
![]()
Komba, huu ndi uzalendo wa jeshini??
Huyu ni mzalendo!
Hapa mtasingizia ati mkono ulikosea njia!
Kweli kajitahidi kuliko kusinzia
![]()
Nafikiria kama bungeni ndo kufanya hivi, 2015 namie nimo!