Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?

Hahahaha mwanaume katongozwa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?
unaweza ukatongoza jini,shauri yako
 
Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?
Huna kosa achana naye kwanza mimi personally nachukia watu wenye hasira hasira na kutukana maisha yenyewe mafupi sasa yote alikujibu ya nini.angesema tu mimi si unavyonifikiria (picha)
 
WE NAWE PICHA TU UNAENDA TONGOZA,,,,KATAFUTE MTAANI AU BADOONDIOIKO CLEAR HUYU DEMU .HUMU NI GREAT THINKERS HACKERS NA WACHAMBUZI TUKO NYUMA YA PAZIA
 
Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?
Kosa unalo tena kubwa tu, kwanini unamtongoza mtu ata bila kufatilia kama ni mke wa mtu au lah, vipi kama ingekua ni account ya your mother /Sister?
Kua na adabu dogo.
 
ahahahah nimecheka haya matusi niliyatoa enzi hizo tunakatazwa kusimamishwa njian na mwanaume yeyote au akikwambia nakupenda tu unashuka mvua ya matusi,,,,,,,, utasikia ushindwe na ulegee na pepo lako la ngono, unikome tena ukomae, unaukimwi wew kazi kuambukiza watot wadogo,Hahahah duh,,,,, utafkr kjana wa watu ameshalala Na mim,,,, so uliparamia mtoto asie age yako,.

Ila sasa hivi huwezi tena kumwambia mtu ana UKIMWI, hivi ni kwanini huwezi eti?
 
Jamani hakuna mahari maalumu pakumuona umpendae. Pia hakuna mahali maalumu palipo ainishwa pakuanzishia mausiano, bali sehemu na namna yoyote inaweza faa kuanzisha mausiano ilimradi tu umemuona umpendae.

Hivi karibuni niliona picha (profile picture) ya msichana mrembo katika akaunti ya mmoja kati ya watu waliomo humu JF. Kiukweli ile picha ilinivutia sana, hivyo nikaona ni vyema nimtafute uyo dada ili nimueleze yangu ya moyoni.

Cha kustajabisha niliambulia matusi makubwa makubwa huku akiniuliza kwa lugha ya ukali "We bwege nani kakuambia mimi ni mwanamke? au umetumwa kunifatilia?", "unikom.. mimi ni mwanaume.. sio mwanamke kama unavyofikiria"

Baada ya majibu hayo nilielewa kuwa kumbe ni mwanaume ila ameweka picha ya msichana. Nilimjibu kwa kumuambia picha ulioweka ndio iliosababisha nijue wewe ni mwanamke. Lakini sikuishia hapo nilimuomba samahani!

Jamani katika hilo mimi ninakosa gani mpaka nitukanwe kiasi hicho?
KAJITONGOZESHA MWENYEWE, YYEYE NDO BWEGE
 
ahahahah nimecheka haya matusi niliyatoa enzi hizo tunakatazwa kusimamishwa njian na mwanaume yeyote au akikwambia nakupenda tu unashuka mvua ya matusi,,,,,,,, utasikia ushindwe na ulegee na pepo lako la ngono, unikome tena ukomae, unaukimwi wew kazi kuambukiza watot wadogo,Hahahah duh,,,,, utafkr kjana wa watu ameshalala Na mim,,,, so uliparamia mtoto asie age yako,.
Duuuh umenikumbusha mbal kinoma et ukome na ukomae
 
Hizi avatar jamani muweke picha halisi na majina halisi ya jinsia yako kama we ni female uweke ya kike na jina la kike kama we ni male uweke ya kiume na jina la kiume mnaona sasa yaliyomkuta mwenzenu
Hahahahaaa kudadaaadeki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom