Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Mkuu,kumbuka kila mtu humu JF amelelewa na malezi yake sasa usitegeme sana positive response kutoka kwa wengine,
Na hayo matusi usidhani anakutukana wewe anatukana maisha yake na kukujulisha kua hana peace of mind...
Hana ugomvi na wewe hata kidogo anaugomnvii na maisha yake,msamehe bure na usijibishane nae..
Nilisha msamehe bure! Pia namimi nilimuomba anisamehe bure!
 
ahahahah nimecheka haya matusi niliyatoa enzi hizo tunakatazwa kusimamishwa njian na mwanaume yeyote au akikwambia nakupenda tu unashuka mvua ya matusi,,,,,,,, utasikia ushindwe na ulegee na pepo lako la ngono, unikome tena ukomae, unaukimwi wew kazi kuambukiza watot wadogo,Hahahah duh,,,,, utafkr kjana wa watu ameshalala Na mim,,,, so uliparamia mtoto asie age yako,.
 
ahahahah nimecheka haya matusi niliyatoa enzi hizo tunakatazwa kusimamishwa njian na mwanaume yeyote au akikwambia nakupenda tu unashuka mvua ya matusi,,,,,,,, utasikia ushindwe na ulegee na pepo lako la ngono, unikome tena ukomae, unaukimwi wew kazi kuambukiza watot wadogo,Hahahah duh,,,,, utafkr kjana wa watu ameshalala Na mim,,,, so uliparamia mtoto asie age yako,.
Yawezekana akawa mdogo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom