Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Hii kitu ipo.Kuna kenge kaona avatar yangu kajua mimi mrembo pasina kuangalia profile yangu yote.Nilimjibu kistaarabu kwa sababu balimi hazikuwa kichwani.Wandugu,mjitafakarishe kabla ya kuwaza ngono.Msivagae mambo hovyohovyo mtayavaa majini!
 
Bora kafanya hivo kuliko angekubali ukaenda mpaka ghetto kwake then akaku..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom