Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Kanitukana sana kisa nimemtongozea JF

Huna kosa achana naye kwanza mimi personally nachukia watu wenye hasira hasira na kutukana maisha yenyewe mafupi sasa yote alikujibu ya nini.angesema tu mimi si unavyonifikiria (picha)
Kweli kabisa angenijibu kistaarabu tu.
 
Kosa unalo tena kubwa tu, kwanini unamtongoza mtu ata bila kufatilia kama ni mke wa mtu au lah, vipi kama ingekua ni account ya your mother /Sister?
Kua na adabu dogo.
Hayo yote tisa kaka, vp kama angekuwa demu kweli nanikampata? Hiyo ni ajali kazini.
 
Hizi avatar jamani muweke picha halisi na majina halisi ya jinsia yako kama we ni female uweke ya kike na jina la kike kama we ni male uweke ya kiume na jina la kiume mnaona sasa yaliyomkuta mwenzenu
Hahahahaaa kudadaaadeki
Itasaidia kutambua nani mwanamke na nani mwanaume.
 
Ndiyo kwani Papuchi hakuna humu anayeweka avator inayofanana na Papuchi japo dune atatongozwa tu angekutana na mm huyo matusi yake tungeelewana chumbani mwenye nguvu ndio mtongozaji na asiye na nguvu angepelekewa moto
Duh! kweli eet!???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom