Polite
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,095
- 816
Hivi yesu alikua mwanaume au mwanamke?
hawajui!!!!
Hivi yesu alikua mwanaume au mwanamke?
ndo kusema maria alipata uwezo wa kuzaa toka kwa mungu na akamzaa mungu huyohuyo alomjaza mimba.
.Waambie mkuu, kama mungu aliwatokea wanadamu akwa katika hali ya moto atashindwaje kujifanya mwanadamu ili apate muda mwingi wa kukaa nao akawafundisha? Ya Mungu ana majabu makubwa
Hapo ndipo huwa nashindwa kushangaa!
Halafu hata wao wagalatia hawaelewi! Halafu wanajipa nguvu kuwa eti biblia ni mafumbo! Na ni ngumu kuilewa!
Lbd hapo ilikuwa na maana yesu sio kiumbe bali ni kanisa!
Teh teh teh teh
ndo tuseme mungu akalazimika kutimiliza maandiko.maandiko hayo yameandikwa na nani hadi mungu alazimike kuyatimiliza?.Ilikuwa ni lazima maandiko yatimie. Lakini maneno haya wewe uwezi kuyaelewa
wewe weka tu hamna tatizo.je umeshawahi kusoma injili ya maria?je the infant gospel?.kama bado usijali twaweza kuwekea aya mbili tatu.CHAMVIGA tukiweka Satanic Verses hapa tutaona uvumilivu wenu.
Wewe uko dunia gani,hata biblia huijui soma kama Yesu hakutumia upanga
Luke 22
36 Naye akawaambia,"Lakini sasa,yule aliye na mfuko wa fedha auchukue;na aliye na mkoba ,hali kadhalika.Na yoyote asiye naupanga auze koti lake anunue mmoja.
38 Nao wakasema ,"Bwana,tazama;hapa kuna panga mbili."Naye akasema,"Basi"
49 Wale wanafunzi wake walipoona hayo,wakasema,"Bwana,tutumie panga zetu?"
50 Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa Kuhani mkuu,akamkata sikio lake kulia.
Ndugu, ee sikio la kufa, sikia hii dawa!!, CCM wakifanyiwa fujo kwenye mikutano yao, moja kwa moja huishutumu chadema maana mwana ccm hawezi fanya fujo kwenye mikutano ya ccm, Chadema nao ni hivyohvyo wataishutumu CCM, na hua kuna ukweli wa hizi shutuma, simba na yanga wakiwa wanacheza uwanjani na kwa bahati mbaya ikatokea washabiki wa Yanga wamefanyiwa vurugu, basi shutuma zoote watapewa simba, maana mshabiki wa yanga hawezi kufanya fujo kwa washabiki wa yanga wenzie,!! vivyohivo hata kwenye dini, kanisa limechomwa lazima kama sio shoti ya umeme basi ni waisilamu tu ndo watakua wamehusika, halikadhalika hata msikiti ukichomwa watakaolaumiwa ni wakristo tu! sasa nadhani utakua umeanza kunielewa, afu ngoja tu nikushauri ndugu yangu, hivi vitendo linalofanyiwa kanisa kwa muisilamu mwenye mapenzi mema hawezi kuvishabikia na badala yake atavilaani, lakini ninyi mmekua wa kwanza kutururudishia shutuma na kushabikia vitendo hivi!! anyways labda ni misingi ya dini yenu, lakini nakuambia hivi. sisi wakristo Mungu wetu yupo na anaona waja wake tunavyofanyiwa, na anajua atadeal vipi na watu kama ninyi. Sisi hua tunaomba tu, wala hatuingii mtaani!! he's a supreme being we dont fight for him like you guys do, He Fights for his people and nobody can stand his anger!!
Usilinganishe dini na mpira hivi nyinyi mmerogwa wapi? Nimesema hivi hizo bifu zenu za kimadhehebu msisingizie waislam, sisi hatuna aja na kuchoma makanisa kwan sisi hatuwalazimishi nyinyi muwe waislam kwan mshapigwa muhuri wa jimotoni hamsikii wala hamuoni la haki, mtakaa na shetani motoni milele na huyo Yesu ambaye hata mayahudi hawamjui sijui itakuaje,nawahurumia sana
Yesu is universal maana Quaran inasema siku hiyo hakuvalishwa nepi bali Mungu alimuweka pembeni