Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Status
Not open for further replies.
Mods, mnaacha thread za aina hii ambazo watu wanaanzisha kashfa makusudi halafu hao hao wanakimbilia kubonyeza kitufe cha ''report abuse'' mwisho wake mje kupiga watu BAN!!. Safari hii tumechoka hizi BAN za kutafutiwa
 
Kama huamini mikoa ya mara, mbeya,arusha na k;njaro inaishinda mikoa ya Tanga, Lindi mtwara na pemba kwa uhalifu mkubwa na wakutisha nitakuthibitiaje kuwa nabii adam alikuwa muislam mpaka uwamini.haya ya hii mikoa yanafanyika ukiwa hai aidha unayona au unayasikia kwa kusoma au kwa kuyaagalia ktk luninga na huamini itakuwa ya uislam wa nabii adam alie kufa makarne yalio pita. Nadhani ww ndio kichwa chako kinamafunza na kuguni ivi kwanini hunyamazi kwani kunamtu anakulazimisha kuandika maneno usiyo yajua. Nyamazaaa
 
technically yes.
walikuwa wanasimamia mafundisho ya musa na manabii, lakini walitakiwa wayaache kwani hayakuwa na wokovu na yalijaa kujionyesha mno. hivyo walitakiwa wafuate mafundisho na sheria ya kristo.
jua ya kuwa hawakuhesabia haki bila sheria. kosa linakuwepo pale sheria ya kristo ilipokufikia.
warumi 7:5 Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
warumi 7:7 Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani.
:12 Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
:13 Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
7:14 Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.

:23 Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
:24 Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
:25 Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.
chamsingi zaidi ni kuwa, imani haikuwa universal, yaani ilihusu taifa teule la wayahudi pekee.lakini baada ya yesu, imani imekuwa universal(inawajumuisha mzabibu mwitu pia)

warumi imekuja baada ya yesu kufa.nataka ile ya kabla.kama unadai walikua wanafata sheria ya musa na so kila kitu kilikua safi mbona waliendelea kufanya dhambi?it just means hiyo ya kusema siku za mwisho watu watafuata mafundisho ya shetani ni kauli mbiu tu ambayo haina uhalisia.

Hata kipindi yesu yuko hai walimpinga na hata alifukuzwa akahamia galilaya hadi mwenyewe akadai nabii hakubaliwi kwao.
 
xo midevu ya yesu ilikuwa kasumba ha h ha ha ha

Ndiomaana na sema wewe ni muisla ubwabwa tu. fanya google seach ya image Coptic christian, Jewish na islam ambazo zote ni za waarabu utaona wote ni full midevu.
 
Endeleeni na ushetani wenu wa kuchoma makaniisa, tukichoka kuwavumilia ndo mtakapoanza kutafuta njia za kukimbilia, hayo ndo madhara ya kuwa na elimu za majini na kukimbia elimu za kistaarabu za dunia.
wewe ndo mtoa kashifa mkubwa halafu unalalamika nini,you cant stand the heat get out of the kitchen.
 
Nanukuu....kulyaayyuha lkaafiruna laa budu maatabuduna walaantum abiduna maabududu lakumdinuku lamyadin....nimemaliza kunukuu...
 
Kwi kwi kwi wewe ni miongoni mwa maboya wakubwa niliowahi kutana nao hapa jukwaani. Nani kakuambia hayo makundi uliyoyataja yanapigania kuwatoa wakristo katika dini yao na kuwafanya waislamu? Dogo wewe ni zuzu la jf' hivi unajua kwanza hayo makundi yalianza kuexist hapa Afrika lini?

Hivi huyo the so called mtume ndiye aliyewafundisha kutukana watu?ndio maana amewaahidi mabikira peponi,msisahau kwenda na viagra,maana 70 ni wengi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom