kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,173
- 11,621
Usiseme mwana wa maryam, twambie baba yake nani, mnamuita bin maryam, tangu lini binanadanu akatumia ubini wa mama? au ni ule mfumo wa matrimonial?
Teh teh teh teh!
We Kakende tatizo lako umezaliwa kijijini na umekuja mjini juzi tu! Na nje ya Tanzania hujatoka!
Huku ulaya watu wengi mno wanatumia majina ya mama zao!
Mfano .
Mfanyakazi mwenzangu hapa offisini anaitwa James rose! Sasa mtu km wewe unaweza kudhani huyu ni mliberali!
Kumbe aaaaaa! Jamaa fiti kabisa!
Kwa hio yesu kuitwa mwana wa maria si cha ajabu. Na biblia imemuita hivyo pia!
Au unataka andiko?
Last edited by a moderator: