Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Status
Not open for further replies.
kwi kwi kwiii! We mburura kweli, huu uongo wenzako washauacha. Huwezi kukuza uislam kwa 'kupinga' ukristo. Kiazi kweli wewe, tena mbatata

"kanzu ni vazi la joto" ha ha h ha hha ha ha ha
 
Teh teh teh eti huna dini wakati ugalatia umekuvika vizuri tu. Nyie wagalatia si ndo mlikuwa mnahonga kanga, chakula kwa maskini, kuwalazimisha waislamu kuritadi kama sharti la kusoma? Niambie uislamu ni nchi gani yeyote Afrika ulienezwa kwa upanga au hizo mbinu za wakoloni?

Mali kuna Tuareg,Somalia kuna Al-Shabaab,Nigeria kuna Boko haram,Tanzania kuna Ponda na wenzake wa uamsho,wewe unadhani uharamia wanaofanya lengo ni nini,nchi zote hizo zipo Afrika au Jiografia inakupiga chenga
 
hizo siku za mwanzo zilikuaje na ilikua lini.
mkuu siku za mwisho zilianza kuhesabiwa baada tu ya yesu kwenda mbinguni.
pengine kwako zitakuwa miaka mingi, lakini si kwa mungu. jua tu. siku za mwisho zilianza kuhesabiwa kipindi hicho. fahamu kobe amaishi mpaka miaka mia300, kuku miaka nearly mi3 na anazeeka. binadamu anaishi miaka 80 na kuzeeka, nzi siku 7 na kuzeeka na kufa. viumbe tunatofutiana kwa muda. usione kuwa ni miaka mingi wakati pengine ni michache lakini kwako ikawa mingi. mpaka leo tunasema siku za mwisho. kama umechoka kungoja jua ya kuwa wengi watajaribu kupitia mlango mwembamba hawataweza, na wenye nguvu tu ndio watairithi nchi. hapa sigusuu nguvu za ubaunsa.
 
"kanzu ni vazi la watu wanaoishi kwenye joto" ha ha ha ha ha h ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha u made my dei kalagabao.

“Ataoga
mwili wote katika
maji, kisha atavaa
mavazi matakatifu.
Ataingia mahali
hapo akiwa amevaa
mavazi matakatifu:
joho la kitani baada
ya nguo ya ndani ya
suruali ya kitani na
akiwa amevaa kanzu
ya kitani na
kujifunga mkanda
wa kitani” (Walawi
1

Asee kweli wewe muislamu ubwabwa tuu. Kunavitu vingi vilikuwepo hata kabla ya uisilamu na vilikuwa ni kasumba za watu wa middle east. Kanzu, kufunga madevu hata kuzunguka lile jiwe jeusi pale mecca vilikuwepo kabla ya uislamu.
 
Ukristo ulileta ukoloni. Maana walikuja wamishinari wakaleta ukristo na baadae. Ukoloni ndio ukaingia

ukoloni ndo ilileta ukristo.walitumia ukristu kubrainwash watu ili wawe royal.example

uflame wa mbinguni ni wa maskini kwani ndio waliobarikia.refer how europe underdeveloped africa.
 
Asee kweli wewe muislamu ubwabwa tuu. Kunavitu vingi vilikuwepo hata kabla ya uisilamu na vilikuwa ni kasumba za watu wa middle east. Kanzu, kufunga madevu hata kuzunguka lile jiwe jeusi pale mecca vilikuwepo kabla ya uislamu.

xo midevu ya yesu ilikuwa kasumba ha h ha ha ha
 
Ukristo ulileta ukoloni. Maana walikuja wamishinari wakaleta ukristo na baadae. Ukoloni ndio ukaingia

Waarabu walileta utumwa.. heri ukoloni kuliko utumwa babu zetu waltembezwa toka kigoma hadi bmoyo
 
Mali kuna Tuareg,Somalia kuna Al-Shabaab,Nigeria kuna Boko haram,Tanzania kuna Ponda na wenzake wa uamsho,wewe unadhani uharamia wanaofanya lengo ni nini,nchi zote hizo zipo Afrika au Jiografia inakupiga chenga

Kwi kwi kwi wewe ni miongoni mwa maboya wakubwa niliowahi kutana nao hapa jukwaani. Nani kakuambia hayo makundi uliyoyataja yanapigania kuwatoa wakristo katika dini yao na kuwafanya waislamu? Dogo wewe ni zuzu la jf' hivi unajua kwanza hayo makundi yalianza kuexist hapa Afrika lini?
 
Mkuu CHAMVIGA, nakusoma na miwani ya 3D.
 
Last edited by a moderator:
mkuu siku za mwisho zilianza kuhesabiwa baada tu ya yesu kwenda mbinguni.
pengine kwako zitakuwa miaka mingi, lakini si kwa mungu. jua tu. siku za mwisho zilianza kuhesabiwa kipindi hicho. fahamu kobe amaishi mpaka miaka mia300, kuku miaka nearly mi3 na anazeeka. binadamu anaishi miaka 80 na kuzeeka, nzi siku 7 na kuzeeka na kufa. viumbe tunatofutiana kwa muda. usione kuwa ni miaka mingi wakati pengine ni michache lakini kwako ikawa mingi. mpaka leo tunasema siku za mwisho. kama umechoka kungoja jua ya kuwa wengi watajaribu kupitia mlango mwembamba hawataweza, na wenye nguvu tu ndio watairithi nchi. hapa sigusuu nguvu za ubaunsa.
ndo nataka kujua kabla yesu hajafa ina maana watu walikua wanaishi vizuri sana kwa kufuata mafundisho ya mungu hatua kwa hatua?
 
Nikitoa mifano naweza andika mpaka kesho ila mfano wa karibu ni bibi yangu na familia yake.

Sasa kwanini unachangia humu. Kama unahoje itoe kwa kui-backup na mifano. Sema shule gani na mwaka gani walikuwa wanalazimisha watu kubadili dini ndio uweze kusoma. Kuaweza kukawa na watu wamesoma shule hizo hizo hapa jf.
 
Waarabu walileta utumwa.. heri ukoloni kuliko utumwa babu zetu waltembezwa toka kigoma hadi bmoyo
hao waafrika walifikaje huko marekani na america ya kusini?apart from akina tiptip ambao walifanya biashara hiyo,wengine ni wapi?hata hao si waliwauzia wazungu ambao hata katika bible utumwa ni ruxa.
 
uislam ni dhehebu moja wapo kati ya mathehebu yanayo milikiwa na lusifa ndio mana waislam wooote wasio jitambua wana roho kama za lusifa sababu ndio boss wao na ndio mana hadi leo hakuna muislam hata mmoja anaye weza kukwambia ndani ya alkhaba kuna nini ndio mana wamejaa ushirika yaani ni bora niliwe 0713 kutwa mara 19 kuliko kuwa liislam ' uislam ni ushenzi na mtume wao aliye rogwa huyo yaani hata sijui hiimijitu inaabudu jitu gani ! coz limtume lenyewe lilisha jifia .
 
Ninyi ni wapuuzi tu!! mada ya kuchoma kanisa mnaiacha mnaingia kutukana dini za watu!! mimi nnavyojua hakuna muislam anayeifahamu vizuri dini yake ya uislam akafunga safari yake ili kuchoma moto kanisa!!Harafu wewe unaejifanya ni muislam huna tofauti na wahuni wanaochoma moto makanisa na kuvunja mabucha ya nguruwe na kuiba nyama!! Huyo unaesema aliyevalishwa nepi akiwa msalabani ameandikwa ktk Quran tukufu kuwa "..kwa hakika yeye nabii issa ndie alama ya kiama kwa kuwa kinaanza kutukaribia, basi msikifanyie shaka na ifuateni hii ndio njia iliyonyooka." imeandikwa ndani ya Quran tukufu ila sikuambii ni sura gani, una hoja?? Ktk biblia huyohuyo issa bin mariam anasema "mimi ndimi njia ya kweli na uzima" hebu linganisha hayo maneno ya Biblia na Quran harafu uone kama yanapingana? Na nyinyi mnaojiita wakristo mna uhakika kuwa waliochoma kanisa ni waislam? maana Biblia inasema "usimshuhudie jirani yako uongo" makanisa yamekuwa biashara kama club za mpira au siasa za vyama na wanaweza kuchomeana wenyewe kwa wenyewe
 
ndo nataka kujua kabla yesu hajafa ina maana watu walikua wanaishi vizuri sana kwa kufuata mafundisho ya mungu hatua kwa hatua?
technically yes.
walikuwa wanasimamia mafundisho ya musa na manabii, lakini walitakiwa wayaache kwani hayakuwa na wokovu na yalijaa kujionyesha mno. hivyo walitakiwa wafuate mafundisho na sheria ya kristo.
jua ya kuwa hawakuhesabia haki bila sheria. kosa linakuwepo pale sheria ya kristo ilipokufikia.
warumi 7:5 Maana, tulipokuwa tukiishi kimaumbile tu, tamaa mbaya zikichochewa na Sheria, zilifanya kazi katika miili yetu, na kuchuma pato la kifo.
warumi 7:7 Je, tuseme basi, kwamba Sheria ni dhambi? Hata kidogo! Lakini bila Sheria, mimi nisingalijua dhambi ni kitu gani. Maana, nisingalijua ni nini hasa kutamani mabaya, kama Sheria isingalikuwa imesema: "Usitamani.
:12 Basi, Sheria yenyewe ni takatifu, na amri yenyewe ni takatifu, ni ya haki na nzuri.
:13 Je, hii inamaanisha kwamba kile kilicho kizuri kimesababisha kifo changu? Hata kidogo! Iliyo ni kwamba, dhambi, ili ionekane dhahiri kuwa ni dhambi, imekitumia kile kilicho kizuri na kusababisha kifo changu. Hivyo dhambi, kwa njia ya ile amri, ilijionyesha kikamilifu jinsi ilivyo mbaya mno.
7:14 Tunajua kwamba Sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kidunia, mimi nimeuzwa kuwa mtumwa wa dhambi.

:23 Lakini naona kwamba kuna sheria nyingine inayofanya kazi mwilini mwangu, sheria ambayo inapingana na ile inayokubaliwa na akili yangu. Hiyo inanifanya niwe mtumwa wa sheria ya dhambi ifanyayo kazi mwilini mwangu.
:24 Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?
:25 Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.
chamsingi zaidi ni kuwa, imani haikuwa universal, yaani ilihusu taifa teule la wayahudi pekee.lakini baada ya yesu, imani imekuwa universal(inawajumuisha mzabibu mwitu pia)

 
Ni wale waliochiwa juzi,wanaendeleza kazi yao

Acheni fitna zenu nyinyi,hayo makanisa wachomaji ni sisi wenyewe wala msiwashirikishe walioachiwa mara waislam bali sisi wenyewe tunafanya hivyo ili kuwaripotia huko duniani tupate msaada wa kujengwa kubwa zaidi,kwani mara ngapi viongozi wanachoma wenyewe??wacha choko choko hizo
 
Endeleeni na ushetani wenu wa kuchoma makaniisa, tukichoka kuwavumilia ndo mtakapoanza kutafuta njia za kukimbilia, hayo ndo madhara ya kuwa na elimu za majini na kukimbia elimu za kistaarabu za dunia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom