Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Kanisa lingine lachomwa moto Vingunguti

Status
Not open for further replies.
Wewe uko dunia gani,hata biblia huijui soma kama Yesu hakutumia upanga
Luke 22
36 Naye akawaambia,"Lakini sasa,yule aliye na mfuko wa fedha auchukue;na aliye na mkoba ,hali kadhalika.Na yoyote asiye naupanga auze koti lake anunue mmoja.
38 Nao wakasema ,"Bwana,tazama;hapa kuna panga mbili."Naye akasema,"Basi"
49 Wale wanafunzi wake walipoona hayo,wakasema,"Bwana,tutumie panga zetu?"
50 Na mmoja wao akampiga upanga mtumishi wa Kuhani mkuu,akamkata sikio lake kulia.

malizia, kisha Yesu akaliunga sikio. Maana yake hataki ugomvi
 
malizia, kisha Yesu akaliunga sikio. Maana yake hataki ugomvi

Sasa kama aliweza kuliunga skio! Kwa nini asilizuie panga tu kukata!!
Kazi kuuubwa ya nini!?
Au alikuwa anapenda tu kufanya vitu vyake!

Teh teh teh teh teh!
 
Mm nimeshatembelea magereza mengi na nimeshatembea mikoa na wilaya nyingi na vijiji vingi ktk ardhi hii ya tz na kila mkoa una aina yake ya uhalifu naukatili wa kihalifu tafauti.sijawahi kusikia bilionea tanga, lindi,pemba.,mtwara kapigwa risasi au albino kakatwa mkono au kuuliwa au mtu kachunwa ngozi. Lakini nimeyasikia hayo yakitokea mbeya,mara, arusha. Moshi.
 
Mm nimeshatembelea magereza mengi na nimeshatembea mikoa na wilaya nyingi na vijiji vingi ktk ardhi hii ya tz na kila mkoa una aina yake ya uhalifu naukatili wa kihalifu tafauti.sijawahi kusikia bilionea tanga, lindi,pemba.,mtwara kapigwa risasi au albino kakatwa mkono au kuuliwa au mtu kachunwa ngozi. Lakini nimeyasikia hayo yakitokea mbeya,mara, arusha. Moshi.
hiyo
Sasa huko ulikotaja kote kuna bilione?, au unamaanisha waarabu wanaomiliki mabasi ambao kimsingi nao ni wakuja tu, mswahili mweusi ni bilionea? au karithishwa kunywa kahawa kijiweni na msuli?, nitajie bilionea mweusi pwani?
 
Teh teh teh teh!

Kwa hio Mungu kaifanya biblia kama taarabu! Mafumbo juu ya mafumbo!
Na anaejua hayo mafumbo ni bingwa wa mafumbo kadinali pengo!

Basi huyo jamaa akisikiliza taarabu lzm askie raha sana!
Manake mipasho yoote anaijua!

Teh teh teh teh! Kwi kwi kwi kwi!

Hello mr 2013 help me out here! Kakende is killing me!!

Acha kuandika kwi kwi, weka fact. Maana mimi nina evidence jamaa yenu alivyofanya mapenzi na mwanae wa kufikia (adopted son),alivyo fanya mapenzi na katoto ka miaka 9 wakati yeye akiwa na zaidi ya miaka 50, pia alivyo ua mwanamke anaenyonyesha akimlazimisha nae aende paradiso
 
  • Thanks
Reactions: mij
kama hauezi kukejeliwa mbona mnajibu,Yesu haswaliwi.pale unaposema Bwana Asifiwe,ni bwana yupi huyo unaemsifu,ni tofauti ya lugha tu maana ndio hiyo hiyo,

we endelea, nikianza mimi mods hufunga uzi. Naujua uislam ndani nje
 
Sasa kama aliweza kuliunga skio! Kwa nini asilizuie panga tu kukata!!
Kazi kuuubwa ya nini!?
Au alikuwa anapenda tu kufanya vitu vyake!

Teh teh teh teh teh!

ni kutimiza maandiko, kuwa katika wote aliopewa hakupoteza hata mmoja
 
wakristo sisi hatumpiganii kristo, kristo ndie anaetupigania, haina haja ya kuanza kuchoma misikiti, Yesu atakutana nao!
 
wakristo sisi hatumpiganii kristo, kristo ndie anaetupigania, haina haja ya kuanza kuchoma misikiti, Yesu atakutana nao!
Sasa mbona mnalalamika si mkae kimya tu Yesu atawajibu. Halafu acheni kutengeneza filamu zenu za kitoto mmesikia mliowasingizia wamechoma moto kanisa mbagala wameachiwa mnataka kusingizia wengine kisa vingunguti kuna waislam wengi! Nyinyi vipi hivi tukiamua kama waislam tuchome kweli si yataisha haya majengo ya Paulo huku uswazi? Tuheshimiane tafuteni lingine tumechoka kutusingizia kila baya
 
Hapo ndugu yangu Polite huyo Kakende anasema biblia ni lugha ya mafumbo kama vile taarabu!
Waliposema Yesu kaleta panga! Anasema walikuwa na maana ya mapenzi!
Kwa hiyo mkiristo akikwambia "aisee ntakupiga panga! Ana maana ATAKUPIGA BUSU!

Au akisema " leo nimetoka kufanya ngono! Ana maana katoka kuimba kwaya!

eee teh teh teh teh teh!

Haki ya mungu nimecheka mno leo!

Cc Tayeb

ha ha ha ha hayo mafumbo wanaelezwa ili watu wapige hela.sadaka za bwana watu wanatia mfukoni kwa mafumbo.

ukristo ni biashara za matapeli kimafumbo.

Babagod tulikua nae mtaani.kafungua kanisa sasa anapiga hela balaa kwa mafumbo

kanisani kwake hakuna kwenda na coin ama shilingi.Ni noti tu tena unatia kwenye bahasha.
 
Last edited by a moderator:
Sasa hebu kwa sasa tukubaliane na hilo lako kuwa MKE NI KANISA!
nakuuliza sasa!

Kwa KUTUMIA LUGHA HIO HIO YA KIMAFUMBO YA BIBLIA .tuchukulie BABA YAKO AMEJENGA KANISA ZUURI SANA NA WEWE NDIO UNAMUAGA SASA UNAENDA KANISANI!

Unaweza kumwambia baba yako mzazi" baba ee MKEO ZURI SANA!. NA MIMI NDIO NAMWENDEA HUKO NA LZM NIINGIE NDANI YA HUYO MKEO NA NTAKESHA NDANI YAKE LEO NIKIIMBA KWA FURAHA NA VIGEREGERE! NA NTAHAKIKISHA NAMPAMBA KWA KILA HALI! DUUUH BABA! MKEO SAFI SANA!

We unategemea huyo baba atakuacha salama!?
Teh teh teh teh !
Cc CHAMVIGA Kikwajuni one Elungata

Mhh, mimi ni tofauti maana mafundisho yangu ni tofauti na yule jamaa yenu alifanya ngono na katoto ka miaka 9 halafu aka justfy kwa kusema eti Allah kamruhusu yeyé tu, akaua wanaume na kuoa wake zao (watumwa wake) akasema eti Allah kamruhusu yeye na wafuasi wake, akafanya mapenzi na mke wa mtoto wake wa kulea (adopted son),pia eti karuhusiwa yeye tu. Hahaha, yaani baada ya kupiga mzigo ndiyo aya inakuja kutoka kwa Allah. Pure cheating!
 
Teh teh teh!
Chimbula wa mbulula!
Hili jinaaa au mitishamba!
Teh teh teh teh!

Don't hate the game boy! Hate the player!

Sisi tunakujueni sana hii michezo yenu ya kuchoma makanisa!
Mbona hatusikii temples za wahindi au za wale bahai! Au za singa singa! Au miskiti!
Basi huo moto na wenyewe unatafuta damu ya bwana au yake madhabahu!?

Nyie watu wabaya sana! Mnakula hizo hela za michango halafu mnachoma ili muongezwe!
Teh teh teh teh! Galatians wana utapeli wa kizamaaani!

Jf imeingiliwa, kichwa maji anabwabwaja kama kawaida yake... Tushakuzoea wewe --------
 
ha ha ha ha hayo mafumbo wanaelezwa ili watu wapige hela.sadaka za bwana watu wanatia mfukoni kwa mafumbo.

ukristo ni biashara za matapeli kimafumbo.

Babagod tulikua nae mtaani.kafungua kanisa sasa anapiga hela balaa kwa mafumbo

kanisani kwake hakuna kwenda na coin ama shilingi.Ni noti tu tena unatia kwenye bahasha.

Wakristo wenyewe tumekua mstari wa mbele kuwajadili,kukemea na kulaani matapeli wanaotumia dini ya Kikristo kama bidhaa! Ni kinyume na nyie ambao mnatetea wahuni na magaidi wanaochafua Uislamu kwa matendo ya kikatili,uuaji na udhalilishaji wa akina mama na watoto wa kike!

Ni jukumu lenu Waislamu kujisahili nyie wenyewe kabla ya kuwalalamikia watu wengine. Hawa wahuni wanaochochea uhasama na chuki ktk jamii ingekuwa ni huko Saudia ama Iran wangekua wanaozea jela ama wamekutana na kitanzi!

Watu ambao hawavumiliwi hata ktk nchi zenyewe zenye Waislamu watupu,hapa wanadekezwa na kuachiwa kutamba kwa kuonyesha ujima wao wa fikra!
 
Mhh, mimi ni tofauti maana mafundisho yangu ni tofauti na yule jamaa yenu alifanya ngono na katoto ka miaka 9 halafu aka justfy kwa kusema eti Allah kamruhusu yeyé tu, akaua wanaume na kuoa wake zao (watumwa wake) akasema eti Allah kamruhusu yeye na wafuasi wake, akafanya mapenzi na mke wa mtoto wake wa kulea (adopted son),pia eti karuhusiwa yeye tu. Hahaha, yaani baada ya kupiga mzigo ndiyo aya inakuja kutoka kwa Allah. Pure cheating!

si ajabu kwetu mtume aliitwa mwendawazimu,mtunga mashairi.unaiga maneno ya waliokufuru kabla yako.hizo kufuru tushaambiwa kitambo xana ndani ya kitabu kitakatifu quraan

tupe mapya ambayo hayamo kwenye quraan.hizo kufuru tushaambiwa.
 
Watakuwa wanagombania madaraka kati yao. Ila namuonea huruma yule Mungu wao aliyevalishwa chupi pale msalabani kuungua Very sad! Mungu kashindwa kujitetea?

Roho ya Shetani iliyoko ndani mwako ndiyo inayokupa ujasiri wa kishetani wa kumdhihaki Mungu aliyeumba mbingu na nchi. Laiti ungelijua yaliyoko mbele yako ungetubia uovu huu kabla hazijaja siku zilizo mbaya kwako. Unaweza kudhihaki na kutukana unavyotaka ukidhani unawafurahisha watu. Sawa. Unajiona mjanja. Sawa. Kumbuka Mungu hadhihakiwi na kila mtu atavuna apandacho. Naomba rehema ya Mungu iwe juu yako.
 
Wakristo wenyewe tumekua mstari wa mbele kuwajadili,kukemea na kulaani matapeli wanaotumia dini ya Kikristo kama bidhaa! Ni kinyume na nyie ambao mnatetea wahuni na magaidi wanaochafua Uislamu kwa matendo ya kikatili,uuaji na udhalilishaji wa akina mama na watoto wa kike!

Ni jukumu lenu Waislamu kujisahili nyie wenyewe kabla ya kuwalalamikia watu wengine. Hawa wahuni wanaochochea uhasama na chuki ktk jamii ingekuwa ni huko Saudia ama Iran wangekua wanaozea jela ama wamekutana na kitanzi!

Watu ambao hawavumiliwi hata ktk nchi zenyewe zenye Waislamu watupu,hapa wanadekezwa na kuachiwa kutamba kwa kuonyesha ujima wao wa fikra!

hayo mambo ya magaidi.iran na saudia.fungua thread tuelimishane juu ya historia ya ugaidi na ulianzia wapi.ugaidi ni nini.

back to the topic.nani anayewaachia kutamba na kuwadekeza kuonyesha ujima wao wa fikra.

xo watu wasiexpress fikra zao wakikuogopa wewe utakasirika.
 
Kama bibilia haieleweki mbona kazi ipo! Kwahiyo kilichoandikwa sio kinamaanishwa sasa unasemaje tukisema Issac sio mtoto wa I Ibrahim maana bibilia imeandika mtoto wa Ibrahim sisi tuseme mwana wa farao au sio! Na huyo nyoka tumwite samaki(kibua) ili tumle au sio, aliyekufa msalabani tumwite petro unaonaje,ilo jiwe tuite bunduki ili tuue waislam ama vipi..Tukiitafisri bibilia kwakila mmoja ajuavyo tutafika kweli.
actually according to bible isaack aweza kuwa mtoto wa farao hasa ukichukulia kuwa maandiko yanasema abrahamu alijifanya sara ni dadake na akamwachia farao alale nae ili amkamate ugoni alipwe mali.
 
Roho ya Shetani iliyoko ndani mwako ndiyo inayokupa ujasiri wa kishetani wa kumdhihaki Mungu aliyeumba mbingu na nchi. Laiti ungelijua yaliyoko mbele yako ungetubia uovu huu kabla hazijaja siku zilizo mbaya kwako. Unaweza kudhihaki na kutukana unavyotaka ukidhani unawafurahisha watu. Sawa. Unajiona mjanja. Sawa. Kumbuka Mungu hadhihakiwi na kila mtu atavuna apandacho. Naomba rehema ya Mungu iwe juu yako.

mkuu hapo hajadhihakiwa mungu.al akhy alichofanya ni kukufaanya uchekeche kichwa chako.hivi kweli mungu anaweza kuvaa nepi.

mimi nivae nepi na mungu avae nepi.tena na chooni anaenda.damn it
mungu ametakasika na huo udwanzi.

mungu hafanani na chochote kile.we umepotea xana unaabudu mtu.huo ni ushirikina mkubwa

eeh mola mtazame mja wako huyu akutambui wewe.amemgeuza mja wako kuwa mungu wake.
 
mkuu hapo hajadhihakiwa mungu.al akhy alichofanya ni kukufaanya uchekeche kichwa chako.hivi kweli mungu anaweza kuvaa nepi.

mimi nivae nepi na mungu avae nepi.tena na chooni anaenda.damn it
mungu ametakasika na huo udwanzi.

mungu hafanani na chochote kile.we umepotea xana unaabudu mtu.huo ni ushirikina mkubwa

eeh mola mtazame mja wako huyu akutambui wewe.amemgeuza mja wako kuwa mungu wake.

Huyu anayejiita Chamviga post zake zote ni za dhihaka. Nimemtahadharisha na kisha nikamwombea. Neno la Mungu halibadiliki. Huyu anafanya haya akiwa na akili timamu. Anaweza kumwaga matusi anavyotaka when it comes to politics but he should know where to draw the line when it comes to the Living God. Mungu hadhihakiwi. Full stop.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom