Inside10
Platinum Member
- May 20, 2011
- 34,738
- 42,832
Teh teh teh teh!
Mchome wenyewe! Ili mpate kudai milioni kadhaa insurance halafu mpate sababu ya kufanya ubadhirifu!
Sasa hivi utaskia " NA KULIKUWA NA HELA ZA MICHANGO YA WANAKONDOO NA HELA ZA WAFADHILI MILIONI 120 NAZO PIA ZIMEIBIWA!"
teh teh teh teh teh!
Na hili ni kanisa kama la saba kuchomwa ndani ya miezi sita!
Halafu we mtizame huyo mchungwaji wa hilo kanisa! Baada ya miezi kama minne hivi ataibuka na ki suzuki vitara kipyaa!
Kapakia mwanakondoo mmoja anang'aaa kama taa kwa mkorogo!
Anampeleka kumtoa pepo! Bonga bar!!!
Teh teh teh teh teh!
Cc Tayeb
mkuu sometime you should be objective why udini kila muda.
Last edited by a moderator: