Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
- Thread starter
- #41
Kwahiyo timu ikiwa chini ya TFF haiwezi kutoka? Aho ESL si kwamba haikuwezekanaa kisheria ni nguvu tu za mashabiki ndiyo zimezuia.Mbona nimekujibu haiwezekani kama lengo lako ni timu zilizo chini ya tff kushiriki.
Na kila mtu kakupa jibu hilo hilo na mfano wa European Super League nikakupa.