Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Habari wakuu,
Hapa namaanisha kampuni inataka kuwekeza kwenye mpira wa miguu. Inatafita viwanja vyake, kwa kukodi au kwa kujenga. Kisha inatafuta timu na kuanzisha ligi yake.
Mapato ya mlangoni na haki za matangazo inachukua. Yaani kampuni inaendesha kila kitu, inakuwa haiko chini ya TF wala vyama vya mipira vilivyo chini ya TFF. Inawezekana au TFF wana hakimiliki ya masuala ya mpira TZ?
Hapa namaanisha kampuni inataka kuwekeza kwenye mpira wa miguu. Inatafita viwanja vyake, kwa kukodi au kwa kujenga. Kisha inatafuta timu na kuanzisha ligi yake.
Mapato ya mlangoni na haki za matangazo inachukua. Yaani kampuni inaendesha kila kitu, inakuwa haiko chini ya TF wala vyama vya mipira vilivyo chini ya TFF. Inawezekana au TFF wana hakimiliki ya masuala ya mpira TZ?